Jstar1
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 1,389
- 1,337
Kama uzi unavojieleza, kuna watanzania wengi wanatamani sana kuishi nje ya nchi hasa hasa kipindi hikki cha mshike mshike na kula kwa jasho, kijana toka kwenu, pamoja na kijana ishi ndani ya uwezo wako.
wengi wamekua na wasi wasi kuishi mataifai ya nje kutokana na mambo ambayo wanafanyiwa watu watano kati ya 100, pia yamekuepo kila nchi ata hapa kwetu japo kuna nchi zimepitiliza ikiwemo oman.
Basi kuna wale wanaoishi nje ya nchi mje mtupe fursa na sisi wengine tujilipue mbele uko, ningeomba mtueleze kuusu, kazi, malipo, lugha, jinsi ya kufika, makazi, connection na hali ya hewa.
wale wanzangu na mimi ambao tuna mpango wa kutimkia uko panapomajaliwa, basi na sisi tupenae fursa ila mimi nina mpango wa kujilipua Qatar, endapo nkipata kibarua na agent, japo najua nkifika uko ntakua mimi kama mimi.
Wakuu walioko nawategemea sana, tupeni ukweli
NAWASILISHA...
wengi wamekua na wasi wasi kuishi mataifai ya nje kutokana na mambo ambayo wanafanyiwa watu watano kati ya 100, pia yamekuepo kila nchi ata hapa kwetu japo kuna nchi zimepitiliza ikiwemo oman.
Basi kuna wale wanaoishi nje ya nchi mje mtupe fursa na sisi wengine tujilipue mbele uko, ningeomba mtueleze kuusu, kazi, malipo, lugha, jinsi ya kufika, makazi, connection na hali ya hewa.
wale wanzangu na mimi ambao tuna mpango wa kutimkia uko panapomajaliwa, basi na sisi tupenae fursa ila mimi nina mpango wa kujilipua Qatar, endapo nkipata kibarua na agent, japo najua nkifika uko ntakua mimi kama mimi.
Wakuu walioko nawategemea sana, tupeni ukweli
NAWASILISHA...