usikate tamaa kuna msaada ikiwa wewe mwenyewe una nia thabiti ya kuacha uraibu, tumepitia huko ila tunapambana na hatutaka tamaa msaada upo nitakushauri kama utapenda nitafute 0717551211 au 0767551211
ukipata ujumbe huu naomba unitafute naweza kuwa msaada kwako maana unaonyesha kujutia hiyo hali na unatamani kuacha, ni ngumu lakini ni rahisi kama umeamua kuacha. Nitafute 0717 551211 na 0767 551211
kama umewahi ona zile landcruiser za porini zenye long chasis sana sana zipo mikoa ya Arusha na Moshi kwa ajili ya utalii wa mbugani huyo ndio anasuka body jijini Arusha, pia wana makmpuni ya ujenzi na mabiashara mengine kibao
Hawa NIDA wanashangaza sana, huwezi kutoa muda mfupi kiasi hicho maana wengine tulihama mkoa kutokana na ajira halafu hata help line zao wameweka namba za simu mtandaoni ukipiga muda wote simu inatumika. Nimewatumia email kuwajulisha kuwa nimehama mkoa kikazi hata hawajibu. Hizi taasisi za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.