Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 6,764
- 13,817
- Thread starter
- #581
😂 😂 I will kwakweli nazisubiri hizo "mbwembwe" kwa hamu.Kabisa.
Sema kwa msimu huu ujao kwetu Malindi hakukaliki, ni baridi sana, sana.
Karibu tena siku ingine ukija nitakupa zawadi ya mboga za majani zinaitwa "mbwembwe" na matunda yanaitwa Mafyoksi..na makakala.
Niliona namna wakina mama wakilima mboga za majani, pilipili hoho na viazi mviringo kwa wingi, inaonekana rutuba ya kule ni nzuri sanaa.
Beautiful home indeed, share with us, please!Kule rutuba ni rafiki sana na mazao.
Vitivo vimestawi mno.
Na kuna maji ya kutosha.
I wish ningekuwa nyumbani sahv, niko jikoni nachemsha magimbi huku babu anamkamua ng'ombe maziwa.
Ngoja nitafute picha nikizopiga kwetu nikuoneshe