Hanspaul: Mshahara wa Laki 5 usikatwe Kodi

Hanspaul: Mshahara wa Laki 5 usikatwe Kodi

Abarikiwe huyo tajiri. Je, Anamiliki viwanda vya aina gani?
kama umewahi ona zile landcruiser za porini zenye long chasis sana sana zipo mikoa ya Arusha na Moshi kwa ajili ya utalii wa mbugani huyo ndio anasuka body jijini Arusha, pia wana makmpuni ya ujenzi na mabiashara mengine kibao
 
kama umewahi ona zile landcruiser za porini zenye long chasis sana sana zipo mikoa ya Arusha na Moshi kwa ajili ya utalii wa mbugani huyo ndio anasuka body jijini Arusha, pia wana makmpuni ya ujenzi na mabiashara mengine kibao
Yuko vizuri, ila itakuwa karithi kampuni toka kwa Babu au Baba yake. Naona ni mdogo kiumri
 
Back
Top Bottom