Mkuu kiben10. Hi ilinikuta pia. Jamaa wa baiskeli kaingia main road bila kuangalia ghafla akanigonga kwenye Gari pembeni. Kumuonea huruma nikamkodishia Bajaj na shilling 20,000 akatibiwe.
Bahati nzuri X-ray ikaonyesha hajaumia. Cha ajabu Baba yake ananipigia simu baada ya siku 2 anasema Kijana...
Mkuu Shark upo sawa hapo. Bankruptcy maana yake assets ni chache kuliko liabilities. Ambacho sijamuelewa Kisena ni hoja yake kwamba pesa zilizopo kwenye account hazitoshi kulipa madeni? Hii ni hoja mufilisi maana asset sio cash kwenye account tu. Kuna fixed assets, kuna receivables, cash yenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.