Maduka gani yanauza perfumes Original (DAR)

Maduka gani yanauza perfumes Original (DAR)

amani kaseko

Member
Joined
May 16, 2013
Posts
65
Reaction score
30
..Wanabodi poleni na majukumu.. Msaada kwenye tuta... Hivi ni maduka gani yanauza perfumes Original kwa hapa DAR?...sehemu nilizopita pita naona mchina katawala...Nashukuru
 
Nenda Oriflame pale Benjamin Mkapa, Posta mpya
 
..wanabodi poleni na majukumu..msaada kwenye tuta..Hivi ni madukaa gani yanauza perfumes origional kwa hapa DAR?...sehemu nilizopita pita naona mchina katawala...Nashukuru
Hapo Ubongo stend utawakuta wamachinga wanatembeza kwenye mabox begani. Waulize mmachinga mwenza mmoja kutoka waja leo warudi kesho/ tanga mgothi mmoja ndio anauza original perfumes Dar nzimaaa huwezi amini chaliiiangu!!
 
Kma unataka kwa jumla nione ntakuuzia kwa bei poa sanaa.
 
Pharmacy next to CRDB bank hapo Mlimani City...

Posta Mpya pale PSI building floor ya chini...
Na kwingineko...
 
Nenda shoppers plaza mikocheni kuna duka floor ya kwanza

Pia Mlimani city kwenye phamarcy ambayo ipo next to CRDB
 
..wanabodi poleni na majukumu..msaada kwenye tuta..Hivi ni maduka gani yanauza perfumes Original kwa hapa DAR?...sehemu nilizopita pita naona mchina katawala...Nashukuru

MP phone Shop Mtaanwa agrey na Lumumba ana import to UK na USA
 
Back
Top Bottom