Kabisa mkuu. Haya mambo huwa yanaacha makovu ndani ya mioyo ya watu. Kuna wakati mtu anaweza kufanya mambo hypocritically hasa akiwa anapata upande unaomsapoti. Tarehe 17 march ya kila mwaka inatakiwa tupumzike. "The other Uhuru day"
Hahaha duh! Nacheka lakini nafsi inauma.....nimewaza kuwa hiyo mil 495 ingetumika kuajiri walim wa ngazi ya cheti wanaolipwa sh 350k kila mwezi ni wazazi wangapi ambao ni maskini wangesaidika kupitia ajira hiyo! Je, hii ndio kauli ya kuwaambia wananchi kuwa TUNATAKA KUMKOMBOA MTANZANIA WA HALI...
Halafu wameweka namba zao hapa ukiwapigia hawapokei sijui kwann, hawajibu hata sms. Ila Tanzania bwana watu wanasema hili ni dawati la msaada halafu wanakata simu sasa sijui wameweka namba ya mtu flani sasa yuko busy mashambani huko. Hii ni changamoto kiukweli maandalizi ya kulifanya hili...
Habarini wakuu, nina changamoto kidogo hapa. Wakati nafanya hii application jana usiku mtandao ulikuwa unasumbua sana hadi ikafikia stage naambiwa uploaded lakini ukienda kuangia kwenye application report hakuna kitu, sasa katika hizo hatua nimejikuta kimeingia kijina cha GRADE A CERTIFICATE...
If the tax collected from various sources are distributed equally to the social services of the common people, i would support it. But it is for abstract thing then, we can ask ourself for what more tax!!!
Hapo sasa, kuna mtihani sana hasa ikifika wakati wale unaowapenda wako hatianii. Ila kiongozi imara na anaependa maendeleo na kutenda haki hawezi kupepesa macho katika hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.