Recent content by mangi mtoto

  1. mangi mtoto

    Huu mkataba wa kazi niusaini au niuache?

    Angalia mashti ya mkataba kama hayalipi sana na hapana manufaa au maslahi bora uingie kwenye ajira ya serikali ingawa kila kimoja kina manufaa na hasara zake
  2. mangi mtoto

    Ya CHADEMA, Lowassa, Dr. Mashinji na mgomo wa madaktari mwaka 2012

    Ukikosa cha kupost kaa kimya mkuu
  3. mangi mtoto

    Nipo njia panda

    Kwa ma babu na bib zako wakupe akili ya ziadaaa......
  4. mangi mtoto

    Nipo njia panda

    Sioni sababu ya kuleta hii mada humu, akati uliyafanya mwenyewe, ila ushauri wa bury, Mimba ya 2 isitolewe Bt we tafuta namna yakumfanya huyo manzi wako wa pili kuelewa kuwa ulikuwa na mtu tayari, shida kama ulimdanganya kama upo single, itabidi ukaazime akili kwa sababu zako...
  5. mangi mtoto

    Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

    Tarehe 24-26 probability mkubwa zaidi nice work
  6. mangi mtoto

    Katika hili nashindwa kumuelewa mke wangu

    Mkuu kwanza hongera kwa kupata mtoto na mke ambaye manaishi kwa kuheshimiana, Mkuu maswala mengine lazima usimame kama mwanaume swala la mkeo kutaka wewe kutompa lift mtu ambaye yeye ni rafiki yake litakuwa kuvunja urafiki wao,.. kama anataka amwite na amweleze hilo swala peke yake. My take...
  7. mangi mtoto

    Rais Magufuli amteua Rais mstaafu, Jakaya Kikwete kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM)

    Miozo kila kona, hii nchii Mali ya CCM au Mali ya Watanzania??
Back
Top Bottom