WARAKA KWA MKURUGENZI WA MASHTAKA - DPP.
TAKUKURU IUNDIWE TAKUKURU-JAJI LUBUVA.
Kwa muda mrefu sasa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa - PCCB wamekuwa wakitenda mambo ya ajabu na kukomoa watanzania utadhani sio raia wa nchi hii.
Mwezi may 2021,Mkurugenzi wa mashtaka nchini Silvester...
WARAKA KWA MKURUGENZI WA MASHTAKA - DPP.
TAKUKURU IUNDIWE TAKUKURU-JAJI LUBUVA.
Kwa muda mrefu sasa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa - PCCB wamekuwa wakitenda mambo ya ajabu na kukomoa watanzania utadhani sio raia wa nchi hii.
Mwezi may 2021,Mkurugenzi wa mashtaka nchini Silvester...
Mkoa wa Kilimanjaro kwa sasa unasimamiwa na Simon Maigwa akiwa ndo Kamanda wa Polisi wa Mkoa. Mkoa wa Kilimanjaro umekuwa na tabia kwa baadhi ya Wafanyabiashara na watu maarufu pindi anapoingia RPC mpya kufika ofisini kwake na kuanza kutengeneza mazingira ya mahusiano naye kwa kutoa rushwa ili...
SERIKALI KUFUTA USHIRIKA WA G32 NI NJIA SAHIHI YA KUFUFUA USHIRIKA WA KNCU MKOANI KILIMANJARO?
Wakuu hongereni na majukumu ya kila siku naomba niwaletee yanayojiri Mkoani kwangu kuhusu masuala ya Ushirika ambao ilikuwa na mchango mkubwa sana wa kiuchumi wa Mkoa wa Kilimanjaro.
Hivi karibuni...
SERIKALI KUFUTA USHIRIKA WA G32 NI NJIA SAHIHI YA KUFUFUA USHIRIKA WA KNCU MKOANI KILIMANJARO?
Wakuu hongereni na majukumu ya kila siku naomba niwaletee yanayojiri Mkoani kwangu kuhusu masuala ya Ushirika ambao ilikuwa na mchango mkubwa sana wa kiuchumi wa Mkoa wa Kilimanjaro.
Hivi karibuni...
Huyu jamaa alikiri akiwa ameshajua adhabu yake itakuwa ni nini mkuu sasa ona mtu katakatisha bil unamtoza faini ya mil 200 atashindwaje kulipa?
Ndio maana hata kukubali kosa kwake hakukuwa shida
Ulietoa uzi huu nakupongeza sababu umegusa pande zote mbili mazuri na pia madhaifu ambayo yameanza kujitokeza kwa wale tuliosoma marketing tunasema Milard amepata mrejesho kutoka kwa audiance hivyo anapaswa kuufanyia kazi ili kutengeneza kitu wanaita audiance satisfaction vingine atapoteza...
Habari za asubuhi.
Leo Junamosi Katibu Mkuu wa TUCTA atakutana na vyombo mbalimbali vya habari Mkoani Kilimanjaro kuzungumzia agenda mbalimbali kubwa itakuwa ni maandalizi siku kuu ya wafanyakazi Mei Mosi, Ukumbi wa Ofisi ya RC saa 2:30 asubuhi.
Nikiwa kama mdau wa masuala ya habari nami...
Hhaha si bora hiyo kuliko kila mnapotofautiana mwenzako anaenda kwenye kutaka muachane halafu ugomvi ukiisha anataka ajue mipango ya kuolewa imefikia wapi is that right kweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.