WEWE ACHA KABISA KIBUTI NINOMA! sasa hivi mwendo uko hivi, una toa nitice ya maonyo,kusudio la kibuti halafu kibuti rasmi hapo hakitaumiza sana. Lakini cha ghafla tutauana jamani tuoneane huruma.
This is how leaders and government have to react against all betrayers, we as africans should have serious and one who will act and direct how nation should go. Sio kuchekea wahuni wanaovaa suti za ulaya kwa pesa za waafrika huku wenye pesa zao wanakula mlo mmoja.
Mataifa mengi Afrika...
Binafsi nampongeza mama huyu, maana vyeti vya wa tz wengi vina mtambua. Ila kama mwanadamu wa kawaida kukosea ni wajibu. Kama alifanya makosa kwa makusudi au kuchomekewa yeye na mola wake wanajua ukweli. Ila si vyema kuweka mlolongo wa mazungumzo yanayoakisi kundi la imani fulani. Tanukeni kifikra.
AHSANTE MKUBWA KWA KUTUJULISHA MAANA SIMU ZA KICHINA ZIMEKUWA KERO TUNANUNU HATA TATU KWA MWAKANI. ILA NAOMBA PIA UTUJULISHE SISI WA itel Tutazijuaje kama ni halisi au mchina?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.