Habar,
Je wapi naweza kupata simu za zaman zamani kama Nokia 6300, Exp 3300 nk,
Blackberry na Motorola za miaka ya 2000's.
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari,
Nawezaje kupata huduma ya fixed account ambayo Nita deposit kwa miamala ya simu kwa namna rahisi na salama?
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu habari za majukumu.
Kama kichwa kinavyoeleza, ninaomba kupatiwa ufafanuzi wowte kuhusu masomo ya Diplomat
Vyuo vinavtotoa kozi hiyo, na sifa za anayehitaji kusoma.
Naomba mnipe mchango wenu. Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.