Mungu yupo kweli kabisa na anatenda mambo makuu ila binadamu ndio tunaoziharibu dini,na kuleta mambo ya ajabu..hata dunia tunayoishi ilikuwa sehemu salama ila uwepo wetu tunafanya uharibifu mkubwa sana
Kuna tetesi huku uswazi kwenye vijiwe vya kahawa kuwa eti wale ambao wana kazi za kuunga unga na sio za serekali wasiijaribu kupeleka visenti vyao Nssf maana watavipata wakiwa vikongwe..mwenye ukweli kuhusu ili atujuze please
Tena nyie ni wajasiria mali tu mnao tumia biblia..na wagonjwa wenu wa kuigiza nendeni hospital kama mtaponya hata mgonjwa 1.. Miujiza ilikuwa zama za Yesu tu...nyie wasaka Tonge mnarusha matangazo ya biashara sio injili..
Enzi za babu zetu hakukuwa na Dini za kuletewa,waliabudu hiyo mizimu mambo yalikuwa shwari, na hapa kuwa na ukimwi, wachungaji wa mwendokasi au wajasiria mali wanaotumia biblia.. majanga ya kutisha,ndoa za jinsia moja, ugaidi..lakin Dunia ya leo ya watu wanaotambua uwepo wa Mungu ndio imeongeza...
Baada ya Tcra kuamua kuzifungia mawasiliano simu zote feki nchini Tanzania mapema mwezi june..ilikuwa jambo la busara ktk kupambana na bidhaa feki..ila utafiti uliofanywa na mwananchi wa kawaida na sio Twaweza umebaini simu karibu robo tatu ya zilizofungiwa zimeshafunguliwa na vijana wa pale...
Hayo ni mawazo na mafundisho ya Buddha, kila mtu yupo huru kutumia akili zake kufikiri sio kila unaloambiwa unaliamini chukua muda wako kutafakari kwa undani.. chanzo cha dini kuu 2 ni Mashariki ya kati na kutoka hapo na Africa ni karibu sana hasa nchi ya Misri ambapo hata yesu aliwahi...
Katika kipindi cha kipima Joto kinachorushwa na kituo cha I.T.V kuna majibu matatu ktk kuchangia mada..ndio, hapana na la mwisho ambalo ndio sijawahi kuliona hata ktk shule za Kayumba nilizowahi kusoma ni Sijui.. kweli na matokeo yanatangazwa20 % ya wachangia mada wamesema sijui.. Huo ni uvivu...
Watu wamehamaki kwa kusikia IQ zao ndogo na ndio ukweli japo unauma.. mfano mdogo tu ili kujua wa Tz wavivu kufikiri ni swali la kipima joto la I.T.V eti kuna jibu la sijui na kuna watu 20% wanachangia mada na kutoa jibu cjui, sasa kama hujui unapoteza muda wako wa nin kutoa maoni?
Kama Tembo tu wa Tanzania anadhamani kuliko raiya na analindwa kwa gharama kubwa na nibora tembo aue mtu,familia ya marehemu italipwa milion 1 kama rambirambi..ile sio wew uuwe Tembo...sasa unauliza kuhusu mtu na sis akina Nyambone !?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.