Recent content by Manento

  1. Manento

    Wanaume kuweni wabunifu kwa wadada/wake zenu

    Tunaogopa michubuko H.I.V +
  2. Manento

    Barua ya wazi kwa mshana Jr

    [emoji16]
  3. Manento

    Ndoto tu ndizo zimetumika kuandika Misahafu yetu tunayobishaniana na kupiganiana leo

    Mungu yupo kweli kabisa na anatenda mambo makuu ila binadamu ndio tunaoziharibu dini,na kuleta mambo ya ajabu..hata dunia tunayoishi ilikuwa sehemu salama ila uwepo wetu tunafanya uharibifu mkubwa sana
  4. Manento

    Ney wa Mitego amuuliza Idris Sultan mil. 500 zimeishaje?

    Limbukeni wa ma star wa bongo movie hajui kwa nin waliitwa wasanii..wamemchuna mpaka mifupa..
  5. Manento

    Haponi mtu kwa style hii...

    Usipo m****a unapata dhambi
  6. Manento

    Mshana Jr. Expert Member Nina ombi

    Acha na hiyo kichwa kabisa..ni namba nyingine
  7. Manento

    Faini ya 500,000/- kila 'bao' trafiki yakataliwa

    Sasa hivi madereva ndio wanalipia elimu ya bure
  8. Manento

    Hivi ni kweli huwezi kuchukua chako Nssf mpaka uwe babu?

    Kuna tetesi huku uswazi kwenye vijiwe vya kahawa kuwa eti wale ambao wana kazi za kuunga unga na sio za serekali wasiijaribu kupeleka visenti vyao Nssf maana watavipata wakiwa vikongwe..mwenye ukweli kuhusu ili atujuze please
  9. Manento

    Unataka kuita mizimu? Fuata njia hii...

    Tena nyie ni wajasiria mali tu mnao tumia biblia..na wagonjwa wenu wa kuigiza nendeni hospital kama mtaponya hata mgonjwa 1.. Miujiza ilikuwa zama za Yesu tu...nyie wasaka Tonge mnarusha matangazo ya biashara sio injili..
  10. Manento

    Unataka kuita mizimu? Fuata njia hii...

    Enzi za babu zetu hakukuwa na Dini za kuletewa,waliabudu hiyo mizimu mambo yalikuwa shwari, na hapa kuwa na ukimwi, wachungaji wa mwendokasi au wajasiria mali wanaotumia biblia.. majanga ya kutisha,ndoa za jinsia moja, ugaidi..lakin Dunia ya leo ya watu wanaotambua uwepo wa Mungu ndio imeongeza...
  11. Manento

    Utafiti wangu kuhusu TCRA..sio wa Twaweza

    Baada ya Tcra kuamua kuzifungia mawasiliano simu zote feki nchini Tanzania mapema mwezi june..ilikuwa jambo la busara ktk kupambana na bidhaa feki..ila utafiti uliofanywa na mwananchi wa kawaida na sio Twaweza umebaini simu karibu robo tatu ya zilizofungiwa zimeshafunguliwa na vijana wa pale...
  12. Manento

    Hakuna hukumu baada ya maisha ya hapa duniani kwa sababu hizi

    Hayo ni mawazo na mafundisho ya Buddha, kila mtu yupo huru kutumia akili zake kufikiri sio kila unaloambiwa unaliamini chukua muda wako kutafakari kwa undani.. chanzo cha dini kuu 2 ni Mashariki ya kati na kutoka hapo na Africa ni karibu sana hasa nchi ya Misri ambapo hata yesu aliwahi...
  13. Manento

    Watanzania ni wavivu wa kufikiri kupita kiasi kuliko nchi zote za kusini mwa jangwa la Sahara..

    Katika kipindi cha kipima Joto kinachorushwa na kituo cha I.T.V kuna majibu matatu ktk kuchangia mada..ndio, hapana na la mwisho ambalo ndio sijawahi kuliona hata ktk shule za Kayumba nilizowahi kusoma ni Sijui.. kweli na matokeo yanatangazwa20 % ya wachangia mada wamesema sijui.. Huo ni uvivu...
  14. Manento

    Kwanini Wakoloni wa Kingereza waliichukia Tanganyika?

    Watu wamehamaki kwa kusikia IQ zao ndogo na ndio ukweli japo unauma.. mfano mdogo tu ili kujua wa Tz wavivu kufikiri ni swali la kipima joto la I.T.V eti kuna jibu la sijui na kuna watu 20% wanachangia mada na kutoa jibu cjui, sasa kama hujui unapoteza muda wako wa nin kutoa maoni?
  15. Manento

    Ambulance yaupisha msafara wa mke wa rais Kivukoni

    Kama Tembo tu wa Tanzania anadhamani kuliko raiya na analindwa kwa gharama kubwa na nibora tembo aue mtu,familia ya marehemu italipwa milion 1 kama rambirambi..ile sio wew uuwe Tembo...sasa unauliza kuhusu mtu na sis akina Nyambone !?
Back
Top Bottom