Asante sana hadi machozi yamenitoka nikimfikiria baba yangu amekua serialised kwa muda mrefu sana katika watoto wake 4 hakuna hata mmoja aliyemsaidia kupata kazi si serikalini wala kampuni binafsi mama amekua akigombana naye sana lakini hakufanya kitu yeye utetezi wake anasema hatujasomea lakini...
Mkuu wadudu sugu wananisumbua kwenye banda la mbwa wadudu kupe nimenunua dawa aina ya dip haijasaidia
Banda la mbwa ni la matofal wadudu wanajificha kwenye ukuta je kuna dawa ambayo ni kali zaidi ya dip
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.