Recent content by Mandi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Hawa ndio wabaya wa waislamu na uislamu wenyewe kwa Tanzania...

    hebu tupe mfano wa jihadi aliyopigana mtume muhammad (swa).
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ofisi zote leo ni Lowassa

    nyinyi ndo gamufai kabisaaa!bora ungali jadili hata mambo ya familia ningalikuona una maana.kuliko kujadili mpira wa uengereza na kuacha habar muhimu za kwenu.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Obama Calls Ethiopian Government ‘Democratically Elected'

    kama amesomaadrasa na kujilipua asingali koment hapa angalikwisha jilipua.wewe ambaye umejifunza kanisani nahic itakuwa umejifunza ubakaji na kulawiti watoto ama sio?usiwe ignorant sawa? go to hell
  4. M

    JamiiForums Tanzania Wazanzibar wanawavizia Membe na Pinda

    Wamesahau kwamba ,ili uwe raisi wa jamhuri kupitia ccm 45% ni wazanzibar ambao kura zao ni muhimu sana.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Vurugu Zanzibar: Wanachama 2 wa CUF wapigwa risasi kituo cha kuandikishia Wapiga Kura - Makunduchi

    pia,raia anayohaki ya kumzuia na kumfichua muhalifu na wala.sio tu vyombo vya dola vizuie uhalifu.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kingunge: Hatutokubali Lowassa akatwe jina

    letu jicho
  7. M

    JamiiForums Tanzania CCM yaitisha Kamati Kuu kwa dharura

    Tuwe wawazi juu ya hili.UKAWA wao wenyewe hawapendi kuteuliwa kwa lowasa.sababu. 1:anakubalika licha ya kwamba anakashfa ya rudhwa 2:kuteuliwa kwake ni pigo kwa ukawa(kutoteuliwa kwake ni faida kwa ukawa)
  8. M

    JamiiForums Tanzania Baraza Kuu La Waislamu Tanzania (BAKWATA) lamteua Sheikh Aboubakar Zuberi kuwa Mufti Mpya

    Sheikh Ponda vpi atakuwepo kwenye kinyang'anyiro?
  9. M

    JamiiForums Tanzania America, Shame on you: Mwalimu ni lazima angetoa tamko ubaguzi huu

    masopakyindi Kama unasikiliza vyombo vya habar nadhani umemsikia Obama anavyochukiwa na hali ya sasa jinsi ilivyokithiri na inakoelekea kubaya.amegusia mambo matatu ya msingi.UKANDA,UBAGUZI WA RANGI ,na UDINI .kitu kibaya zaidi hapa ni kumkumbatiwa muamerika kama mtetezi wa umasikini wa...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Salim Ahmed Salim ashawishiwe kuchukua fomu haraka

    Muulize Kagame"atakuelewesha"
  11. M

    JamiiForums Tanzania Salim Ahmed Salim ashawishiwe kuchukua fomu haraka

    ni nchi ilee iliyojaa ustaarabu,ni nchi isiyo na mafisadi,ni nchi ambayo raia wake have not been poisoned by alcohol,ni nchi ambayo hakuna machangu i mean maprostitutes,ni nchi ambayo imezungukwa na urembo wa mahari ya hindi,ni nchi inayojumuisha vizazi vingi na vizazi mchanganyiko kama vile...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Salim Ahmed Salim ashawishiwe kuchukua fomu haraka

    wewe si ni Mrwanda pia au sie?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri Ubungo Plaza: Prof. Lipumba ametangaza nia ya kuchukua fomu ya kugombea Urais wa JMT

    wanaume wa KWELI NDO WANAOIFAHAMU KAULI HIYO
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kama haki itatendeka ndani ya CC ya CCM, Dkt Salim A Salim ndie Rais bora ajaye

    mdogo wangu usiwe na presha,lile jengo linaitwa jina la kipekee ambalo ni ikulu.na.wala sio msikiti au kanisa.kama hutaki rais muislamu pigia kura ukawa atakuwa ni dr.slaa.kwa upande wa ccm mgombea atatoka zabzibar tena atakuwa muislamu.hali ndo hiyo mkuu
  15. M

    JamiiForums Tanzania Wanamtwara mmesahau kuliwa na Simba?

    bila kusahau na ukanda wa ziwa pia.ndoa hizo zipo.mkuu
Back
Top Bottom