Kama haki itatendeka ndani ya CC ya CCM, Dkt Salim A Salim ndie Rais bora ajaye

Sio kwamba haya yote alikua hayaoni mkuu! Tatizo hapa lilikua ni mfumo mbovu wa uongozi! Walimbana sana na kumwita nwarabu, ndio maana hata kwenye ujumbe wa kamati kuu hakupewa nafasi ndio juzi tu hapa wakaona aibu wakamwingiza, Anayajua madhaifu yote ya kimfumo ndio maana anaitaka nafasi ya urais anyooshe mambo.

Nakubaliana na wewe ila hawezi kuyanyoosha akiwa ccm, hata yeye mwenyewe hilo analielewa. Ninavyoamini ingawa sina ushahidi wa kuthibisha imani yangu ni kuwa hawawezi kumpitisha huku wakielewa anaweza kuwarudi wote waliomchafua. Hilo lipo pia kwa lowasa ingawa wanaweza wakasema kuwa nae ana kashfa ya richmond. Hata hivyo yeye alishasema hakuna alichokifanya ambacho hakikueleweka kwa mkuu wake.Tatizo hajajitetea kwa wananchi wakalielewa vizuri tofauti na kutamka tu na kudai mbele ya waandishi ataeleze. Lini? Naamini pia hao wakubwa ili wakukabidhi kijiti lazima muwe na makubaliano nao kuwa sio wao na familia zao tu bali hata marafiki zao hutawagusa. Pia lazima wawe na sauti kwenye serikali utakayoiunda na si ajabu wakakupa na orodha ya watwule wao. Ukikaidi wanaangalia kwenye orodha na kumpa dhaifu yeyote. Hata hivyo kwa yaliyomkuta mteule wako 2005 na kwenye bunge la katiba sidhani kama atawaamini tena labda kama una taarifa kuwa alishaombwa radhi.Kwa nini usiunganishe nguvu kwa pendekezo langu?
 
Kwa mazingira ya siasa za sasa ambapo waislam wamekuwa wakiandamwa na maadui wa taifs hili hasa wale wanaoona kuwa wenye dini yao tu ndo wanastahili kuongoza, sioni nafasi ya Salim kwenye mfumo huu dhalimu. Pia kuna kautamaduni ka kubalilishana baina ya Waislam na Wakristo katika nafasi ya Urais. Ni utamaduni mzuri japo una kasoro zake
Yeyote aliye tayari kuishadadia dhana ya kwamba huu ni wakati wa Mkristo basi pia awe tayari kuishadadia na kuitetea dhana ya kwamba hii nayo ni awamu ya Zanzibar! Kama ndivyo, je mwenye kuishadadia dhana hiyo atakuwa tayari kuishadadia na kuitetea dhana ya kuitaka Zanzibar leo hii itafute mgombea Mkristo ili kuiweka system in equilibrium? God forbid!
 
With all glories and goddies from Dr Salim, we do not need another Muslim in the state house. This time tumpate hata kama ni mlokole lakini waislam hapana. Angalia polisi wote wako chini ya waislam, parastatal organs kubwa ziko chini ya waislam na ajira sasa hivi ukisema jina lako Abdallah, there is highest change utapewa interview. Imetosha yahe..

that is too low,kirusi cha udini ni Kibaya kuliko hata ufisadi, think like a great thinker,if not pretend to be one,can't do that either then keep quiet.
mithali 17:28 hata mpumbavu akinyamaza huhesabiwa hekima,akifumba midomo yake huhesabiwa ufahamu
 
Amaa kweli! tuonane oktober tuone waislaam au waktistu hapo no ukawa no ccm ni muslims vs christians............miili yenu ipo kwenye siasa wakati nafsi zenu zipo kwenye uislamu na ukristo. midomo yenu inatamka uadilifu na kupinga ufisadi wakati misikumo yenu ya kidini inasema potelea mbali huyu huyu fisadi lazima awe Raisi coz ame qualify kuwa mkristo. Poor mind, kizazi cha 80ºs
 
Wasalaam wanajukwaa!

Nadhani kila mtu anamjua huyu mwanamapinduzi,mwanadiplomasia aliyebobea wa siasa za kitaifa na kimataifa,Waziri mkuu mstaafu, katibu mkuu mstaafu wa Umoja wa Africa(AU),Mtumishi wa umma wa miaka mingi asiyekua na doa katika uongozi wake!

Huyu ni kiongozi aliyewahi kutia nia kugombea urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania miaka ya nyuma ndani ya CCM lakini rafu za kimakundi zikamchezea!

Ni mtu mwenye maono na anayekubalika kila kona ya dunia, Hakika hii ndio dhahabu ambayo CCM hakitakiwi kucheza nayo, Kama kweli inavyosemekana kua atachukua form ya kuwania urais naye wiki ijayo basi ndiye atakayemaliza kazi maana mpaka hapa kwa waliotia nia wote hakuna wa kufanana naye!

Ni mtu ambaye kwakweli kama atapitishwa ndiye atakayewapa wakati mgumu sana upinzani nchini.

Huyu mzee ni Turufu ya Taifa.

Kila mwanadamu hajakamilika!; Hebu na Tuseme Mkutano wa Katiba Kwanza, ili Tuweze kudhibiti madhaifu ya tutakaye muajiri!; ref; Maoni yetu Wananchi kama yalivyo kusanywa Jaji Warioba, ambayo ni mwiba kwa wasiowajibika! Jee AS ametia Neno kuvurugwa maoni yetu, ili tumuone anaweza!?:msela:
 
With all glories and goddies from Dr Salim, we do not need another Muslim in the state house. This time tumpate hata kama ni mlokole lakini waislam hapana. Angalia polisi wote wako chini ya waislam, parastatal organs kubwa ziko chini ya waislam na ajira sasa hivi ukisema jina lako Abdallah, there is highest change utapewa interview. Imetosha yahe..

Hizi ndo pumba tusizozihitaji katika nchi hii... na rwanda ilianzaga hivi hivi mpaka wakaingia vitani.
 
Pona ya ccm mwaka huu ni kumwomba Dr Slaa ahuishe ile kadi yake ya ccm halafu wampe nafasi ya kugombea urais kwa tiketi ya ccm. Ndio, ...if you can't beat them, you join them!
 
Pona ya ccm mwaka huu ni kumwomba Dr Slaa ahuishe ile kadi yake ya ccm halafu wampe nafasi ya kugombea urais kwa tiketi ya ccm. Ndio, ...if you can't beat them, you join them!
Thubutuuu!! We kwa misimamo ya Dkt Slaa kwa hilo suala ni sawa na kumtusi, Haitawezekana maana yeye ndiye mjenzi mkuu wa chama chake! Watamtafuta mtu mwema huko huko CCM hata kama ni kwa Tochi! Na ndio maana tunamzungumzia SAS pekee humu.
 
Yeyote aliye tayari kuishadadia dhana ya kwamba huu ni wakati wa Mkristo basi pia awe tayari kuishadadia na kuitetea dhana ya kwamba hii nayo ni awamu ya Zanzibar! Kama ndivyo, je mwenye kuishadadia dhana hiyo atakuwa tayari kuishadadia na kuitetea dhana ya kuitaka Zanzibar leo hii itafute mgombea Mkristo ili kuiweka system in equilibrium? God forbid!

Huu mfumo aliuanzisha Mwalimu ingawaje haukuwa rasmi lakini lengo lilikuwa Rais atoke Zanzibar ambapo kwa 99% angekuwa muislamu. Lakini baada ya Mwinyi mwalimu akagundua kuwa kuwapa Wazanzibari Urais bara ni sawa na kumpa uongozi foreigner. Hiyo ikafutwa, akamwambia Mkapa akiondoka anwachie muislam waone na wa bara wakoje. Bahati mwalimu hayupo kufanya tathmini, naamini kila mkristo ameona kwa macho, almanusra nchi iwe ya kiislam, kama mahakama ya kadhi, kijenga misikiti maofisini, ijumaa kuwa siku ya mapunziko, serikali kugharimia safari za Mecca kuhiji ajira zaidi kwa waislam, viongozi wote wa wajuu waislam including Pinda(fyi Pinda is pure muslim watoto wake wote wa sasa wanaitwa majina ya kiislam kama akina Abdallah)
Tumechoka... Tumeona... Tumekataa safari hii hata mfanyeje nchi itatawaliwa na Mkristo period
 
huu mfumo aliuanzisha mwalimu ingawaje haukuwa rasmi lakini lengo lilikuwa rais atoke zanzibar ambapo kwa 99% angekuwa muislamu. Lakini baada ya mwinyi mwalimu akagundua kuwa kuwapa wazanzibari urais bara ni sawa na kumpa uongozi foreigner. Hiyo ikafutwa, akamwambia mkapa akiondoka anwachie muislam waone na wa bara wakoje. Bahati mwalimu hayupo kufanya tathmini, naamini kila mkristo ameona kwa macho, almanusra nchi iwe ya kiislam, kama mahakama ya kadhi, kijenga misikiti maofisini, ijumaa kuwa siku ya mapunziko, serikali kugharimia safari za mecca kuhiji ajira zaidi kwa waislam, viongozi wote wa wajuu waislam including pinda(fyi pinda is pure muslim watoto wake wote wa sasa wanaitwa majina ya kiislam kama akina abdallah)
tumechoka... Tumeona... Tumekataa safari hii hata mfanyeje nchi itatawaliwa na mkristo period

mdogo wangu usiwe na presha,lile jengo linaitwa jina la kipekee ambalo ni ikulu.na.wala sio msikiti au kanisa.kama hutaki rais muislamu pigia kura ukawa atakuwa ni dr.slaa.kwa upande wa ccm mgombea atatoka zabzibar tena atakuwa muislamu.hali ndo hiyo mkuu
 
mdogo wangu usiwe na presha,lile jengo linaitwa jina la kipekee ambalo ni ikulu.na.wala sio msikiti au kanisa.kama hutaki rais muislamu pigia kura ukawa atakuwa ni dr.slaa.kwa upande wa ccm mgombea atatoka zabzibar tena atakuwa muislamu.hali ndo hiyo mkuu

Kwani mtu kutoka bara anaruhusiwa kugombea Uraisi wa Zanzibar?
 
UKAWA ni mhadarat gani,hebu tuwe wawazi na tuwe serious mtu unaposema UKAWA ni wapinzani wa CCM kivip sina hakika katika hilo,hata kama ni ushabiki basi uwe na kikomo,yaani UKAWA ambayo haijulikani kama ni chama ama genge la wanyang'anyi leo useme watachukua nchi subutu!!!!!!!!!!!!!!
 
Wasalaam wanajukwaa!



Ni mtu ambaye kwakweli kama atapitishwa ndiye atakayewapa wakati mgumu sana upinzani nchini.

Huyu mzee ni Turufu ya Taifa.

Hiyo Chama ilikofikia hataafufuke Kambarage kama hatacheza ngoma ya Mafisadi hawezi kufanikisha jambo zaidi watamKolimbo ndani ya miezi sita-hapo upo?

Mafidasi ndani ya Chama wamekamata mpaka Ofisi toka magogoni hadi za Mitaa!
Hakuna msafi.
 
Back
Top Bottom