SHIVA MAINA
JF-Expert Member
- Jan 9, 2015
- 293
- 42
Ccm yote shida ukiwemo wewe,lakini ninavuojua wtu Wa ukanda Wa pwani na akili Yao ya kuoa watoto wenye umri Wa miaka 8 kama Masai ni shida nchi hii !
Embu toa hoja na sio mipasho.Naamini kuhamishwa watu kutoka kijiji kimoja mpaka kingine ndio imeondoa ubaguzi wa makabila otherwise tungekua kama Rwanda au Burundi so better think first mdau + Bila sacrifiz,hatuwezi kufika pale tunapotakiwa kufika na ndio mana watanzania wenzetu walienda kupambana na Iddi Amin na naamni kwa statement yako,unataka pia wanajeshi au ndugu wa wanajeshi waanze kumlaumu Mwalimu kwa kuwapeleka vitani/
Think ndugu
Embu toa hoja na sio mipasho.Naamini kuhamishwa watu kutoka kijiji kimoja mpaka kingine ndio imeondoa ubaguzi wa makabila otherwise tungekua kama Rwanda au Burundi so better think first mdau + Bila sacrifiz,hatuwezi kufika pale tunapotakiwa kufika na ndio mana watanzania wenzetu walienda kupambana na Iddi Amin na naamni kwa statement yako,unataka pia wanajeshi au ndugu wa wanajeshi waanze kumlaumu Mwalimu kwa kuwapeleka vitani/
Think ndugu
Supersteve, Ramark, Kapotolo 2Geza: Mnamshambulia mchangiaji Faiza kwa vigezo visivyo endana na mada ya originator.
Mleta mada hakuwa anataka kuwalinganisha Nyerere (RIP) na hao waliomfuata! Anatoa hisia zake dhidi ya sera na mambo aliyofanya Nyerere period. Kwa nini tusiishie kuyachambua ya Nyerere bila kuwaingiza na kina Mkapa? Na ndio maana kunajengeka hisia kwamba huyo Nyerere (RIP) hastahili kukosolewa? (RIP Nyerere, lakini tutayasema tu)