Recent content by MANDEVUMENGI

  1. MANDEVUMENGI

    Kuna tofauti ya bei za madirisha Aluminum kwa rangi zake?

    Mkuu shida ni bei elekezi ya hayo material,unaweza ukauziwa bei juu ukija ku-calculate bei inakuwa mule mule,tungeomba utupe angalau bei elekezi ya material ya aluminium maana m mwenye nataka kuweka madirisha tatizo hzo bei ndo noma
  2. MANDEVUMENGI

    Onyo : Aina 9 Ya Simu Ambazo Sikushauri Kununua

    Mkuu vp hz s22 utra bei gan unauza?
  3. MANDEVUMENGI

    Wazee, tuvae viatu vizuri tukitoka. Nimeangaliwa kwa dharau sana leo.

    Hajakuelewa tu mzee wanawake hawanaga mambo mengi hvyo
  4. MANDEVUMENGI

    Maimartha: Jux na Diamond wana urafiki zaidi ya tuujuavyo, Wakubwa mtanielewa

    Ule uzi huwa naufatilia nikitoka kupiga nyapu lasivyo kujilipua ni swala la dkk tu[emoji1787]
  5. MANDEVUMENGI

    Huko mbeleni atajutia maamuzi yake

    Kuna watu nyapu zinawapelekesha sana aisee!! Majuzi nimekutana na jamaa yangu tulimaliza olevel wote,yupo na kicheche wa shule kipindi tunasoma basi jamaa limekufa limeoza linapelekeshwa tu,wakat ile nyapu kila muhuni aliipiga kipindi kile!
  6. MANDEVUMENGI

    Namtafuta mganga hodari atakayenifanyia dawa niwe na mvuto wa kimapenzi

    [emoji23][emoji23][emoji23]..ila haya mambo usikute mwamba mdomo unanuka yeye anahisi ana gundu Kwanza kumbuka mwanamke anashawishika zaid na maneno matamu je una maneno matamu ya kumshawashi mtu?
  7. MANDEVUMENGI

    Hapa ndipo wanawake wengi tunapofeli

    Ingekuwa mm ndo jamaa ningemuacha mapema sana kipindi cha ujauzito unawezaje kukaa na msaliti miezi yote hyo?mwanamke akishagongwa tu c wako tena
  8. MANDEVUMENGI

    Hii fantasy kuhusu matamanio haya ipo kwangu tu au nina shida kisaikolojia

    Hayo sio mapungufu,ni kawaida sanaa...wengine tukielezea fantassy zetu mtapigwa na butwaa...kuna uzi fulani nimeusahau jina ni watu wanaelezea fantassy zao utacheka sana mtoa mada
  9. MANDEVUMENGI

    Ni bora mwanaume anayenunua kuliko anayehudumia

    Kununua ni nafuu lakini hufurahii tendo,pia unatumia condom hapo ndo kipengele!
  10. MANDEVUMENGI

    Msiba wa dada yake mzazi wamponza mchajisha simu Kinondoni ala kisago cha mbwa mwizi.

    Kuishiwa simu chaji ni uzembe masimu yenyewe yana battery mpaka mAh 5000....mtu makini huwezi kushiwa chaji
  11. MANDEVUMENGI

    Je unawakumbuka herbalist maarufu wa kitambo hicho?

    Hii nchi ina hela sana[emoji38] ni wewe tu utavyoamua upige hela kwa style gani.To be honest b mkubwa wangu alipigwa sana na ndodi yaan kila tukimwelekeza b.mkubwa haelewi[emoji1787]
  12. MANDEVUMENGI

    Fadru Davis, nimekuita mara tatu bila hiki kikosi hutoboi March 8. Pokea ushauri wa bure

    Mkuu ungesema tu ahoua asianze basii,maana kosi ndo lile lile kila siku!fadlu hana kikosi kipana kama yanga!
Back
Top Bottom