Wadau habari ya majukumu nimeamua kuanza kufanya biashara ya nafaka zao la choroko, nimeingia bush huku nakusanya mzigo kwa anayejua soko la uhakika lilipo la zao hili tupeane taarifa na soko linavyoenda mjini huko.
Habari wana janvi nilikuwa naomba kupata ufafanuzi juzi ya kampuni ya Qnet jinsi inavofanya biashara na nikweli kuna mafanikio ukijiunga nayo nimekuwa
nikipata ushawishi tika kwa marafuki zangu mbalimbali kujiunga na kampuni hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.