Recent content by mandazy

  1. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo ulanga morogoro nije dodoma wilaya yeyote idara elimu msingi
  2. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Kwaniaba yupo dodoma jiji abadilishane na kutoka dar wilaya yeyote
  3. M

    Natafuta gari ya kufanyia kazi na kupeleka hesabu kwa boss

    Mimi pia nipo dodoma kwa mdau mwenye gari anicheki tufanye kazi 0752246075
  4. M

    Account Manager at Bolt

    Mm dereva natafuta gari nipige bolt nipo dom 0752246075
  5. M

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Hamna mtu ana gari ndogo asee nifanye bolt au huber asee
  6. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo magu-mwanza nije singida manspaa,Dodoma jiji,kondoa mji,chemba dc idara elimu msingi.
  7. M

    Biashara ya nafaka zao la choroko

    Wadau habari ya majukumu nimeamua kuanza kufanya biashara ya nafaka zao la choroko, nimeingia bush huku nakusanya mzigo kwa anayejua soko la uhakika lilipo la zao hili tupeane taarifa na soko linavyoenda mjini huko.
  8. M

    Kilimo cha Mihogo (Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake

    Mm natan mia tatu ya mihogo wadau anayehitaji anichek pm tufanye biashara
  9. M

    Project funding sources

    Nina tan mia tatu za muhogo anayehitaji anichek pm tufanye biashara
  10. M

    Wakulima wa muhogo wilayani Mkuranga kunufaika

    Natani mia tatu mwenye mawasiliano kiwandani anisaidie nipo Kasulu, Kigoma
  11. M

    Mambo 30 usiyoyajua kuhusu utapeli wa Q-Net (Network Marketing)

    Habari wana janvi nilikuwa naomba kupata ufafanuzi juzi ya kampuni ya Qnet jinsi inavofanya biashara na nikweli kuna mafanikio ukijiunga nayo nimekuwa nikipata ushawishi tika kwa marafuki zangu mbalimbali kujiunga na kampuni hii.
Back
Top Bottom