Unaenda kununua za nini kama hujui soko la uhakika lilipo.?Wadau habari ya majukumu nimeamua kuanza kufanya biashara ya nafaka zao la choroko, nimeingia bush huku nakusanya mzigo kwa anayejua soko la uhakika lilipo la zao hili tupeane taarifa na soko linavyoenda mjini huko.
Au India aseeProbably utaambiwa soko liko China sijui napo itakuwaje.