Dini ni matendo yako mkuu. Hata kama ni muudhuriaji mzuri wa ibada lakini matendo ni ya ajabu ajabu haileti maana yeyote hasa kipindi hiki ambacho madhehebu mengi yapo kwa ajili ya kupiga hela na show off. Fanya kazi kwa bidii Saidia wasiojiweza, fundisha wasiokuwa na elimu, lisha wasiokuwa na...
Acheni kutetea huduma za ajabu kwa visingizio vya kitoto sana. Wanasema sio mara ya kwanza wanafanya hivi. Acha aseme ili wanaoweza kusafirisha kwa uaminifu wapewe hayo majukumu. Ndio maana hiyo sector sio monopoly.
Hiki kitu huwa naki observe sana katika mazingira ya kawaid ya kila siku.. Mara nyingi huwa wanawaongelea vibaya badala ya wao kupambana na maisha yao na kujua jinsi gani wanaweza kutengeneza maisha yao kama hao..
Sijui kwenye mazngira yenu.. Hivi mnakutana na hiki kitu..? Kwa nini wanakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.