Recent content by Manasseh Manasseh

  1. Manasseh Manasseh

    Bora nirudi kwa wazazi wangu wanifunze upya

    Sad story. Ila bonge la message.
  2. Manasseh Manasseh

    Je, inawezakana kumuabudu Mungu pasipo kuwa na mahusiano(affiliation) yoyote na madhehebu ya kidini?

    Dini ni matendo yako mkuu. Hata kama ni muudhuriaji mzuri wa ibada lakini matendo ni ya ajabu ajabu haileti maana yeyote hasa kipindi hiki ambacho madhehebu mengi yapo kwa ajili ya kupiga hela na show off. Fanya kazi kwa bidii Saidia wasiojiweza, fundisha wasiokuwa na elimu, lisha wasiokuwa na...
  3. Manasseh Manasseh

    New Force/ Golden Deer acheni uhuni kwa mizigo ya abiria

    Acheni kutetea huduma za ajabu kwa visingizio vya kitoto sana. Wanasema sio mara ya kwanza wanafanya hivi. Acha aseme ili wanaoweza kusafirisha kwa uaminifu wapewe hayo majukumu. Ndio maana hiyo sector sio monopoly.
  4. Manasseh Manasseh

    Rais Samia aduwaza wachumi nchini

    Your English is a mess too..
  5. Manasseh Manasseh

    Rais Samia aduwaza wachumi nchini

    Halafu unajiita opportunity cost.. and you know nothing about economics..
  6. Manasseh Manasseh

    Mfahamu mdudu kunguni (bedbugs) na jinsi ya kumuangamiza

    Toa kila kitu ocha chumba na maji yaliochemka kabisa
  7. Manasseh Manasseh

    Hivi kwanini watu wengi wenye kipato cha chini hujadili sana maisha ya matajiri

    Hiki kitu huwa naki observe sana katika mazingira ya kawaid ya kila siku.. Mara nyingi huwa wanawaongelea vibaya badala ya wao kupambana na maisha yao na kujua jinsi gani wanaweza kutengeneza maisha yao kama hao.. Sijui kwenye mazngira yenu.. Hivi mnakutana na hiki kitu..? Kwa nini wanakuwa...
  8. Manasseh Manasseh

    ndugu zangu upande wa pili, haya mnaambiwa au mnajiongeza!?

    Kuoa n jambo la muda tu.. Kama ukiwa tiari kupokea ndoa na changamoto zake inakufaa uoe .. Ila ukijichanganya kwa kukurupukia ndoa umetafuta tatizo
  9. Manasseh Manasseh

    Afunga Ndoa na Mbwa.

    As long as mbwa ni wa kiume... Fresh tu maamuz yake
Back
Top Bottom