Manasseh Manasseh
Member
- Jun 7, 2019
- 41
- 21
Hiki kitu huwa naki observe sana katika mazingira ya kawaid ya kila siku.. Mara nyingi huwa wanawaongelea vibaya badala ya wao kupambana na maisha yao na kujua jinsi gani wanaweza kutengeneza maisha yao kama hao..
Sijui kwenye mazngira yenu.. Hivi mnakutana na hiki kitu..? Kwa nini wanakuwa hivyo...
Sijui kwenye mazngira yenu.. Hivi mnakutana na hiki kitu..? Kwa nini wanakuwa hivyo...