bandiko zako ni zakibabe hongera kwa kujitambua mapema na kuiona fursa yakuzindua wengine pia ili jamii iamasike kwa ukubwa kuleta maendeleo respect mkuu
Usiwalazimishe watu wafate kimataifa wakat hata qur an haijasema kutakua na mwezi wa kimataifa au kitaifa muhimu wakiushuhudia mwezi miongoni mwenu na wafunge na pia kukazia fungeni muonapo na funguen muonapo pia hakuna hapo mwezi wa kitaifa wala wakimataifa
Hutakiwi kumtukana mtu au kumwita jina lenye kuudhi kikubwa fata maandiko yanavyotaka huna sababu yakujifanya mjuzi ili hali hujui hata kama utakua mwenye kufaulu au la
Vitu vinaenda kwa rekodi kama tulifika nusu wkt wengine hatujazaliwa naamini ni mda sasa wakizazi chetu kupata burudani waliofaidi wazee wetu.DoorDie...simbanguvu1...yeswecan...homeishome
Sent using Jamii Forums mobile app
Japo mnachelewa kushauriana mambo ya dini bado jukumu labaki kwenu 7bu ndio mtakaoenda ishi wenyewe wengine ni ziada muhimu kama mmeelewana ktk ilo na mkakubaliana jins mtakavyoishi basi haina tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.