Kama ilivyo kwa mwanaume hata Mwanamke pia maumbile yake yamegawanyika katika sehemu tatu

Wang Shu

JF-Expert Member
Feb 1, 2014
2,563
3,708
Maumbile ya siri ya wanaume yamegawanyika sehemu tatu

1. Uume mkubwa [TEMBO]

2. Uume wa kati [FARASI]

3. Uume mdogo [KONDOO]

Kila mwanamke ana mapendeleo yake na hisia zake kuhusu ukubwa wa uume ingawa inategemea na uwezo wa kufanya kazi, wengi hudhani uume mkubwa au mnene ndiyo madhubuti kuliko mdogo, wengine wao hudhani kuwa nyembamba ndefu ndiyo madhubuti zaidi, lakini utendaji kazi ni suala linalojitegemea.

MAUMBILE YA WANAWAKE

1. UKE MNENE WENYE KINA KIFUPI[Huyu yeye atapenda uume mwembamba na mfupi]

2.UKE ULIOLALA MWEMBAMBA WENYE KINA KIREFU [Huyu yeye atapenda uume mnene na mrefu]

3. UKE MNENE [Huyu yeye atapenda uume mkuubwa ndio anahisi utamfikisha]

Katika aina hizo 3 ndani yake zimegawanyika katika maumbile tofauti tofauti, yaani nyingine ipo kwa juu kidogo, nyingine kwa chini kidogo, nyingine katikati, ipo iliotuna, ipo iliobanda n.k

Tuseme tuu ukweli mara nyingi inapokuwa mume na mke ni tofauti wengi hujikuta wanatafuta njia mbadala

IKIWA NIMEPATA TOFAUTI JE NIFANYAJE?
Ikiwa umepata mwenzako tofauti na wewe, tafadhali usimuache mkeo au usimkimbie mumeo na kwenda kutafuta mchepuko kwani kwenye dini ni kharamu na pia kumbuka magonjwa ya maambukizi ni mengi unachotakiwa kufanya ni kujifunza elimu nyingine ya kuyashughulikia maumbile tofauti na ulivyoyatarajia nanyi mtafaidi ndoa yenu na kudumu mpaka kifo kitakapowatenganisha.
 
...then we be moving as fast as a Nascar rides Switch gears, slow down, go down, whoa now. You could feel every inch of it when we intimate.

I use my tongue, baby, a little sprung maybe. I had your head spinning saying "dronedrake so crazy"
 
ASA MKUU UTAJUAJE KAMA UKO KWENYE SIZE SAHIHI?? MAANA NAVYOJUA WANAWAKE WANAZALIWA NA MAUMBILE SAWA ILA WAKIANZA KUPITISHA MITALIMBO YENYE SIZE TOFAUTI TOFAUTI NDO HUPELEKEA HAYA
 
ASA MKUU UTAJUAJE KAMA UKO KWENYE SIZE SAHIHI?? MAANA NAVYOJUA WANAWAKE WANAZALIWA NA MAUMBILE SAWA ILA WAKIANZA KUPITISHA MITALIMBO YENYE SIZE TOFAUTI TOFAUTI NDO HUPELEKEA HAYA
Maumbile hutofautiana kutumika ni sababu lakini haifanyi kazi mda wote kile kiungo ni lastik kinatanuka na kusinyaa, ilimradi kila mmoja anaridhika na size ya mwenzi wake ni bora, kwa mwanaume utajua tu ukiwa katika tendo utahisi mwenzangu hapa nimemzidi au amenizidi.
 
Maumbile ya siri ya wanaume yamegawanyika sehemu tatu

1. Uume mkubwa [TEMBO]

2. Uume wa kati [FARASI]

3. Uume mdogo [KONDOO]

Kila mwanamke ana mapendeleo yake na hisia zake kuhusu ukubwa wa uume ingawa inategemea na uwezo wa kufanya kazi, wengi hudhani uume mkubwa au mnene ndiyo madhubuti kuliko mdogo, wengine wao hudhani kuwa nyembamba ndefu ndiyo madhubuti zaidi, lakini utendaji kazi ni suala linalojitegemea.

MAUMBILE YA WANAWAKE

1. UKE MNENE WENYE KINA KIFUPI[Huyu yeye atapenda uume mwembamba na mfupi]

2.UKE ULIOLALA MWEMBAMBA WENYE KINA KIREFU [Huyu yeye atapenda uume mnene na mrefu]

3. UKE MNENE [Huyu yeye atapenda uume mkuubwa ndio anahisi utamfikisha]

Katika aina hizo 3 ndani yake zimegawanyika katika maumbile tofauti tofauti, yaani nyingine ipo kwa juu kidogo, nyingine kwa chini kidogo, nyingine katikati, ipo iliotuna, ipo iliobanda n.k

Tuseme tuu ukweli mara nyingi inapokuwa mume na mke ni tofauti wengi hujikuta wanatafuta njia mbadala

IKIWA NIMEPATA TOFAUTI JE NIFANYAJE?
Ikiwa umepata mwenzako tofauti na wewe, tafadhali usimuache mkeo au usimkimbie mumeo na kwenda kutafuta mchepuko kwani kwenye dini ni kharamu na pia kumbuka magonjwa ya maambukizi ni mengi unachotakiwa kufanya ni kujifunza elimu nyingine ya kuyashughulikia maumbile tofauti na ulivyoyatarajia nanyi mtafaidi ndoa yenu na kudumu mpaka kifo kitakapowatenganisha.
Sawa mzee wa ladha ya ndoa
 
nilichogundua uchi wowote ukishapata utelezi mwingi unaonekana mkubwa zaidi.kikubwa balansi utelezi tuu K inatoa maji sana we usipizie ndani utaharibu cha kufanya mwagia tumbon au mgongon afu rudishia tena hadi iwe inakwama kwama.
 
nilichogundua uchi wowote ukishapata utelezi mwingi unaonekana mkubwa zaidi.kikubwa balansi utelezi tuu K inatoa maji sana we usipizie ndani utaharibu cha kufanya mwagia tumbon au mgongon afu rudishia tena hadi iwe inakwama kwama.
Na ikikauka?
 
Back
Top Bottom