Habari ndugu zangu wana JF!
Naitwa paul nipo udom 1st yr, hakika maisha yangu ya hapa chuon yamekuwa magum na hvyo kpelekea kkata tamaa ya kuendelea kusoma, ukwel bodi yetu ya mikopo imekuwa chanzo cha matatizo haya yote,!! ni miongon mwa wanafunzi walioomba mkopo lakini kwa bahati mbaya...
ucjal ndugu yangu, mungu mwema atafanya njia pale pasipo na njia, ukwel hata mimi walivotoa lot ya nne wakasema ndo ya mwisho, niliumia sana ndugu yangu, lkn nikajipa moyo ya kuzidi kuomba mungu kika cku na muda wote!! jitahd ufatilie mungu atakunyoshea mkono wake na kufungua baraka, huwez amin...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.