University of Dodoma naomba mpitie hapa

University of Dodoma naomba mpitie hapa

social_science

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2015
Posts
1,105
Reaction score
1,262
Mimi ni kijana miaka 21 mwaka wa kwanza chuo kikuu dodoma nachukua masomo ya sayansi ya jamii

Siku zinazidi kusonga mpaka leo hii sijapata pesa ya matumizi wakati ulimwengu mzima unajua tumeneemeka.Nime sign mkopo toka tarehe 14 mpaka leo sijaona chochote katika account yangau

Naomba kuwauliza maswali ya msingi kama ifuatavyo bila kuvunja sheria

1: kwanini hamtupi pesa wakati imeishaidhinishwa tupate???

2: kwanini mna tupa ahadi fake mnasema pesa tuna weka week ijayo ikifika hakuna pesa mnatoa ahadi nyingine hamjui kama mnatuchanganya kisaikolojia???

3:kwanini mnagawa pesa kwa watu wachache na kuleta matabaka miongoni mwetu???



Naomba mlifanyie kazi bandiko langu,sina tena msaada mzee wangu ni mtu wa makamo nikimwambia bado sijapata pesa ananigombeza sana na kusema mbona mh raisi amewapa mkopo
mpaka sasa nimebakiwa na tsh 11000 sijui hatima yangu ni nini

Jaribuni kuwa waungwana bwana najua tukijitokeza kuwakumbusha mnachukua maamuzi magumu juu yetu,nina hasira sana


mwanafunz udom
 
Pole sana kijana. Tatizo kama lako lipo hata St. Joseph University of Tanzania iliyo Dsm. Pamoja na kwamba bodi ya mikopo ilisha release pesa ya kwenda chuoni lakini hadi leo wanachuo wengi sana hawajaingiziwa hela yao ya matumizi kwenye akaunti zao na hivyo kuishi kwa taabu. Iweje chuo au bank ya EXIM wakae na hela kwenye akaunti zao kwa zaidi ya miezi miwili sasa bila kuwaingizia wanachuo kwenye akaunti zao? Au wanazifanyia biashara kwanza? Kuna umuhimu wa serikali baada ya kuwa imepeleka pesa kwa vyuo husika kufuatilia na kuwabana wahusika ili kuhakikisha kwamba wanachuo wanawekewa hela yao ya matumizi kwenye akaunti zao kwa wakati.
 
Ufatiliaji wa hili swala umekua mgumu sana nimeshindwa niende wapi
 
Naweza kuamini kwamba hili ni kweli maana nmekuwa pale kwa miaka mitatu na nmeiona hyo hali!! Pole sana mkuu.....vp viongoz wanasemaje??
 
Kijana nipe namba yako PM nikuongezee elfu 30 ikusukume siku mbili tatu
 
Serikali yenu ya wanafunzi ni dhaifu zaidi ya neno lenyewe udhaifu.Vyuo vyenye SO strong kama UDSM na MUHAS huwezi sikia huo upuuzi

Pole dogo
 
Mimi ni kijana miaka 21 mwaka wa kwanza chuo kikuu dodoma nachukua masomo ya sayansi ya jamii

Siku zinazidi kusonga mpaka leo hii sijapata pesa ya matumizi wakati ulimwengu mzima unajua tumeneemeka.Nime sign mkopo toka tarehe 14 mpaka leo sijaona chochote katika account yangau

Naomba kuwauliza maswali ya msingi kama ifuatavyo bila kuvunja sheria

1: kwanini hamtupi pesa wakati imeishaidhinishwa tupate???

2: kwanini mna tupa ahadi fake mnasema pesa tuna weka week ijayo ikifika hakuna pesa mnatoa ahadi nyingine hamjui kama mnatuchanganya kisaikolojia???

3:kwanini mnagawa pesa kwa watu wachache na kuleta matabaka miongoni mwetu???



Naomba mlifanyie kazi bandiko langu,sina tena msaada mzee wangu ni mtu wa makamo nikimwambia bado sijapata pesa ananigombeza sana na kusema mbona mh raisi amewapa mkopo
mpaka sasa nimebakiwa na tsh 11000 sijui hatima yangu ni nini

Jaribuni kuwa waungwana bwana najua tukijitokeza kuwakumbusha mnachukua maamuzi magumu juu yetu,nina hasira sana


mwanafunz udom


Kabla ya kwenda mbali na kuihoji UDOM anza kuhoji busara ya mzee wako kwanza
 
Jaribu kupunguza mzaa kwenye mambo ya msingi

Mimi mwenyewe pia ni mhanga wa hilo jambo huwezi amini tangu asubuhi had sasa sijakula kitu ,.na Jana usiku yenyewe nilikula mikate miwili tu na maji ,!! maana hii njaa itaniua
 
haya bwana unaweza kuta unanisanifu kama huna cha kuandika ni heri ukakaa kmya tu.
 
Tulia wewe kwanza hiyo course unayosoma hautakiwi kupewa mkopo, utalipaje wakati ukimaliza hapo hupati ajira. Mwanaume mzima unasoma course za kike si aibu hiyo. Alafu ole wako nifukuzwe kazi hela zenu bado tunafanyia biashara kidogo, wiki ijayo ndo nitapeleka cheki benki. Tafadhari sana jitahidi utumie hiyo 11,000/= kwa wiki mbili. Mambo ya kuchongeana siyo mazuri, ole wako nifukuzwe kazi. Alafu hilo li course lako halina ajira pole sana.
 
Haipiti wiki bila kuona vijana wa udom wakilalamika hapa jukwaani.kutakua na tatizo huko udom!dogo jaribu kukopa wenzio hapo chuo hata elf 30 zikusogeze kidogo.
 
Tulia wewe kwanza hiyo course unayosoma hautakiwi kupewa mkopo, utalipaje wakati ukimaliza hapo hupati ajira. Mwanaume mzima unasoma course za kike si aibu hiyo. Alafu ole wako nifukuzwe kazi hela zenu bado tunafanyia biashara kidogo, wiki ijayo ndo nitapeleka cheki benki. Tafadhari sana jitahidi utumie hiyo 11,000/= kwa wiki mbili. Mambo ya kuchongeana siyo mazuri, ole wako nifukuzwe kazi. Alafu hilo li course lako halina ajira pole sana.

khaaaa yan inaonexha ni vp we ulivo mngese, kudadek
 
Mimi mwenyewe pia ni mhanga wa hilo jambo huwezi amini tangu asubuhi had sasa sijakula kitu ,.na Jana usiku yenyewe nilikula mikate miwili tu na maji ,!!

njoo edu bloc p no 98 nitakupa buku mbil ya msosi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom