hata kabla wahisani hawajagomea kutoa hisani zao bado serikali kupitia mama selina kombani alishasema kuwa ajira kwa walimu wa sanaa zimetosha.sasa hili suala la wahisan kugomea kutoa ufadhili ndo kabisaa litasababisha kuwa na ajira chache na ni kwa walimu wa sayans.linapokuja suala la uhaba wa...
udom saiv kuna program ya koz za ualimu diploma na cheti pia wapo sambamba na degree hii ni kutokana na raslimali za majengo mengi yaliyopo chuon hapo kuwa nyingi na wanafunz kidogo hivo wakaona waanzishe koz hizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.