Recent content by man m

  1. M

    Mimi nina masters nataka kuoa Darasa la saba

    unaweza kuwa na master na bado wa la saba akakuzid akili.elimu na akili ni vitu viwili tofauti.
  2. M

    Nifanyeje niache Punyeto?

    suluhisho ni kuoa tu bro vinginevyo hali itakuwa mbaya
  3. M

    Msaada,ku-update laini ya tiGO ya 32k kuwa 64k au 128k

    lkn unafahamu maana sahihi ya 32k??
  4. M

    Mwaka 2015 na ajira serikalini

    hata kabla wahisani hawajagomea kutoa hisani zao bado serikali kupitia mama selina kombani alishasema kuwa ajira kwa walimu wa sanaa zimetosha.sasa hili suala la wahisan kugomea kutoa ufadhili ndo kabisaa litasababisha kuwa na ajira chache na ni kwa walimu wa sayans.linapokuja suala la uhaba wa...
  5. M

    Yanga vs jku updates

    daaah yanga tuna hali ngumu
  6. M

    Natafuta kazi ya kulisha mifugo, niko Kigamboni

    Mm nachukia kuajiriwa na mwanaume mwezangu
  7. M

    Mliosema post za ualimu hazitoki tena mbona siwasikii?

    udom saiv kuna program ya koz za ualimu diploma na cheti pia wapo sambamba na degree hii ni kutokana na raslimali za majengo mengi yaliyopo chuon hapo kuwa nyingi na wanafunz kidogo hivo wakaona waanzishe koz hizo
  8. M

    Majibu ya maswali ya usaili

    swali namba nne:inabidi utaje ur positive weakness. ni udhaifu ambao unafaida kwa taasisi
Back
Top Bottom