Recent content by Man kante

  1. M

    Nimechaguliwa kusoma course inaitwa FOOD SCIENCE pale SUA

    Nielekeze fresh mkuu kwanini umuhimu na uwanja wake ukoje
  2. M

    Nimechaguliwa kusoma course inaitwa FOOD SCIENCE pale SUA

    Hahaaha mdogo angu SENETA umenifata hadi huku kutembeza uchawi
  3. M

    Nimechaguliwa kusoma course inaitwa FOOD SCIENCE pale SUA

    Sikuichagua mi niliweka option nyingi ya kwanza ilikua animal science ya ya pili general agriculture iyo ilikua ya mwisho ya tano kuchagua nilitaka kubadili so kabla sijafanya inabd nijue ikoje kiutaalam zaidi
  4. M

    Nimechaguliwa kusoma course inaitwa FOOD SCIENCE pale SUA

    Habari za Leo wakuu, Binafsi nimechaguliwa kusoma course inaitwa food science pale sua kwa mwaka wa kwanza wa masomo 2021/2022. Ila nimetamani kupata kujuzwa mengi kuhusu hii course katika kila nyanja kama ifuatavyo:-, #Ugumu wake? #fursa zake kimasoko katika ajira? #kujiajiri kwake? #faida...
  5. M

    Msaada: Napotuma maombi ya chuo namba ya uthibitisho (Verification number) inakataa

    Kwanza verification namba unayo.?? AVN namba award verification number inapatikana ..Nacte.go??? Unayotakiwa kutumia kuapply chuo?? Inatolewa kwa elfu 10 umeipata???
  6. M

    Niulize chochote kuhusu HESLB, NACTE na TCU

    Siti ya kwanza mkuu nasubiri waje ..
  7. M

    Msaada tafadhali, kozi ipi bora kati ya General Agriculture, Animal Science na Crop science?

    Habari wakuu, Ninaomba kupewa muongozo au msaada kua kati ya kozi hizo tatu za kilimo ipi ina tija na ni nzuri haina usumbufu mwingi mbeleni kwa pale SUA. Pia, soko lake zuri iwe kwenye kujiajiri au kuajiriwa Nahitaji kuchukua moja wapo hapo nikipewa faida na hasara itanisaidia kutambua wapi...
Back
Top Bottom