HUWEZI MFANANISHA NYERERE NA MAGUFULI HATA KIDOGO.
[emoji117] Nyerere alijenga mabwawa ya kufua umeme Kidatu, Kihansi, Nyumba ya Mungu, Hale
[emoji117] Nyerere alinunua ndege na ATC ikafanya biashara katika soko la ndani/kimataifa
[emoji117] Nyerere alijenga UDSM, Mzumbe, NIT, Dar Tech, Arusha...