man-eno
Member
- Sep 20, 2015
- 13
- 62
HUWEZI MFANANISHA NYERERE NA MAGUFULI HATA KIDOGO.
Nyerere alijenga mabwawa ya kufua umeme Kidatu, Kihansi, Nyumba ya Mungu, Hale
Nyerere alinunua ndege na ATC ikafanya biashara katika soko la ndani/kimataifa
Nyerere alijenga UDSM, Mzumbe, NIT, Dar Tech, Arusha Tech, Mbeya Tech, IFM, CBE, TIA/DSA, DMI, ISW,
Nyerere alijenga madaraja makubwa kama Kirumi, Selander, Wami, Mara na mengine mengi.
Nyerere alijenga viwanda vya kuchakata mazao ya Pamba, Kahawa, Pareto, Chai, Ngozi, Nyama, Maziwa, Viatu,
Nyerere alinunua Meli na vivuko (Panton) katika maeneo kadhaa nchini
Nyerere alijenga viwanda vya kutengeneza Vifaa/Zana za kilimo, Mbolea, Madawa, Magurudumu, n.k
Mwl. Nyerere alijenga viwanda vya Korosho.
Nyerere aliwapenda Wananchi wake.
Nyerere aliwasomesha watoto wake Shule za Serikali
Nyerere hakudhulumu Wananchi wake.
Nyerere Alituunganisha Wananchi, hakuwa na Ubaguzi hata kidogo.
Nyerere hakutumia Dola kutesa Wananchi
Hakutumia mabavu kubomolea Wananchi makazi yao.
Nyerere Aliheshimu mihimili yote. Sio km huyu "Mahakama ilitoa Injunction ubomoaji wa makazi ya Wananchi lkn,aliikataa".
Nyerere aliwatafutia Wananchi wake Chakula waliposhikwa na njaa.
Wakati wa Nyerere wanafunzi walisoma na kusafiri kwenye usafiri wa umma bure.
pia baba wa taifa alifanya na mengineyo mengi kama watanzania kupelekwa nje kusoma aijalishi kabila wa dini gani.
alijenga uhusiano na mataifa yote bila mipaka.
alisaidia ukombozi wa bara la Africa.
wanafunzi wa mbali kama Mtwara tech,manghamba high school, bukoba na kwingineko walipelekwa na usafiri wa ndege ya serikali bure.
wanafunzi walikula kuku mara tatu kwa wiki zikisafirishwa na ndege kwa maeneo ya mbali.
alijenga viwanja vya michezo nchi nzima kama jamhuri stadium, dodoma,arusha,kirumba,tabora,shinyanga sokoine stadium mbeya n.K.
alijenga mashirika na taasisi kama sukita,national milling co.,rtc,ugavi ,twico, tanganyika packers,shirika la usagishaji la taifa, posta na simu ,bank za ujamaa, n.K.
pia alitoa vitabu bure mashuleni kama michezo na utamaduni.
mashirika na taasisi zilikuwa na timu zao.
Viwanja vilijaaa ila kwa sasa idadi ya watu imeongezeka na bado viwanja havijai.
alianzisha national festival kila mwaka ngoma za makabila kushindana.
aliendeleza vijiji na azimio la arusha.
alijenga chimwaga Dodoma ,ukumbi wa mikutano mikuu ya taifa Dodoma.
alitoa chakula cha msaada bure wakati wa njaa 1986's.
alitembelewa na kina fidel castro, keneth kaunda,dos santos ,malkia wa uingereza,n.K
Kuombwa ushauri
Je, kweli kuna zaidi yakee..?
na utofauti mkubwa kuliko wote:
Badara ya reli ya tazara kuelekea mara (butiama) kwa hekima zake aliipeleka kusini.
Alijua muhimu wa viwanja vya ndege ila akujenga mara (butiama).
Na kubwa zaidi yote aliyofanya nyerere alisema tumefanya. Badala ya nimefanya.
Huwezi kufananisha na nyerere
hakuwa feki alichosema ndicho anatekeleza pia alisaidia kulinda mipaka dhidi ya nduli idd amin dada huko kagera
Nyerere alijenga Reli ya TAZARA
Nyerere alijenga vijiji vya Ujamaa nyerere alijenga Umoja wa Kitaifa yaani lugha moja Nyerere hakuwa Mbaguzi wa Kisiasa Nyerere alikaa madarakan kwa faida
Pamoja na mambo mengine kede kede ambayo alifanya lakini bado aliamini kuwa wapo watakokuja kufanya zaidi ya yeye.!
Naichukia hii tabia ya kinafiki,kama Nyerere ambaye ndiyo baba wa Taifa hakuwai kusema eti akitoka nani atafanya kama yeye ,wewe ni nani hata useme hivyo??tuwe na staha na akiba ya maneno kuna watu wengi tu Tanzania wanaweza kuongoza Mungu akiwaongoza...
Lakini bado Nyerere aliondoka madarakani kwa hiari yake mwenyewe (kung'atuka) na hakuogopa ama kuhofia kwamba akiondoka madarakani ni nani atafanya kama yeye!
Vimbwanga mlotaaka kuaminisha Watanzania kwamba hakuna mwingine mwenye uwezo wa kufanya kama Magufuli yanatokea wapi?
Mjukuu.
Nyerere alijenga mabwawa ya kufua umeme Kidatu, Kihansi, Nyumba ya Mungu, Hale
Nyerere alinunua ndege na ATC ikafanya biashara katika soko la ndani/kimataifa
Nyerere alijenga UDSM, Mzumbe, NIT, Dar Tech, Arusha Tech, Mbeya Tech, IFM, CBE, TIA/DSA, DMI, ISW,
Nyerere alijenga madaraja makubwa kama Kirumi, Selander, Wami, Mara na mengine mengi.
Nyerere alijenga viwanda vya kuchakata mazao ya Pamba, Kahawa, Pareto, Chai, Ngozi, Nyama, Maziwa, Viatu,
Nyerere alinunua Meli na vivuko (Panton) katika maeneo kadhaa nchini
Nyerere alijenga viwanda vya kutengeneza Vifaa/Zana za kilimo, Mbolea, Madawa, Magurudumu, n.k
Mwl. Nyerere alijenga viwanda vya Korosho.
Nyerere aliwapenda Wananchi wake.
Nyerere aliwasomesha watoto wake Shule za Serikali
Nyerere hakudhulumu Wananchi wake.
Nyerere Alituunganisha Wananchi, hakuwa na Ubaguzi hata kidogo.
Nyerere hakutumia Dola kutesa Wananchi
Hakutumia mabavu kubomolea Wananchi makazi yao.
Nyerere Aliheshimu mihimili yote. Sio km huyu "Mahakama ilitoa Injunction ubomoaji wa makazi ya Wananchi lkn,aliikataa".
Nyerere aliwatafutia Wananchi wake Chakula waliposhikwa na njaa.
Wakati wa Nyerere wanafunzi walisoma na kusafiri kwenye usafiri wa umma bure.
pia baba wa taifa alifanya na mengineyo mengi kama watanzania kupelekwa nje kusoma aijalishi kabila wa dini gani.
alijenga uhusiano na mataifa yote bila mipaka.
alisaidia ukombozi wa bara la Africa.
wanafunzi wa mbali kama Mtwara tech,manghamba high school, bukoba na kwingineko walipelekwa na usafiri wa ndege ya serikali bure.
wanafunzi walikula kuku mara tatu kwa wiki zikisafirishwa na ndege kwa maeneo ya mbali.
alijenga viwanja vya michezo nchi nzima kama jamhuri stadium, dodoma,arusha,kirumba,tabora,shinyanga sokoine stadium mbeya n.K.
alijenga mashirika na taasisi kama sukita,national milling co.,rtc,ugavi ,twico, tanganyika packers,shirika la usagishaji la taifa, posta na simu ,bank za ujamaa, n.K.
pia alitoa vitabu bure mashuleni kama michezo na utamaduni.
mashirika na taasisi zilikuwa na timu zao.
Viwanja vilijaaa ila kwa sasa idadi ya watu imeongezeka na bado viwanja havijai.
alianzisha national festival kila mwaka ngoma za makabila kushindana.
aliendeleza vijiji na azimio la arusha.
alijenga chimwaga Dodoma ,ukumbi wa mikutano mikuu ya taifa Dodoma.
alitoa chakula cha msaada bure wakati wa njaa 1986's.
alitembelewa na kina fidel castro, keneth kaunda,dos santos ,malkia wa uingereza,n.K
Kuombwa ushauri
Je, kweli kuna zaidi yakee..?
na utofauti mkubwa kuliko wote:
Badara ya reli ya tazara kuelekea mara (butiama) kwa hekima zake aliipeleka kusini.
Alijua muhimu wa viwanja vya ndege ila akujenga mara (butiama).
Na kubwa zaidi yote aliyofanya nyerere alisema tumefanya. Badala ya nimefanya.
Huwezi kufananisha na nyerere
hakuwa feki alichosema ndicho anatekeleza pia alisaidia kulinda mipaka dhidi ya nduli idd amin dada huko kagera
Nyerere alijenga Reli ya TAZARA
Nyerere alijenga vijiji vya Ujamaa nyerere alijenga Umoja wa Kitaifa yaani lugha moja Nyerere hakuwa Mbaguzi wa Kisiasa Nyerere alikaa madarakan kwa faida
Pamoja na mambo mengine kede kede ambayo alifanya lakini bado aliamini kuwa wapo watakokuja kufanya zaidi ya yeye.!
Naichukia hii tabia ya kinafiki,kama Nyerere ambaye ndiyo baba wa Taifa hakuwai kusema eti akitoka nani atafanya kama yeye ,wewe ni nani hata useme hivyo??tuwe na staha na akiba ya maneno kuna watu wengi tu Tanzania wanaweza kuongoza Mungu akiwaongoza...
Lakini bado Nyerere aliondoka madarakani kwa hiari yake mwenyewe (kung'atuka) na hakuogopa ama kuhofia kwamba akiondoka madarakani ni nani atafanya kama yeye!
Vimbwanga mlotaaka kuaminisha Watanzania kwamba hakuna mwingine mwenye uwezo wa kufanya kama Magufuli yanatokea wapi?
Mjukuu.