Hakuna Kitu kinaumiza wananchi wapigaji Kura kama kumchagua kiongozi hawaletee maendeleo alafu Kumbe unajikuta umemchagua Anti-government kazi yake ni kuikosoa serikali kila siku mahakamani wengine wanashinda Dar es saalam kuliko kwenye majimbo yao kila siku mahakamani bungeni kutafuta...
Tanzania ni nchi inayoongoza kuwa na majinga mengi kwanza uhuru wenyewe tuliupigia magoti hatujui kufight hivyo so jambo la kushanga mtanzania kuuza utu wake na haki zake kwaajili ya matumbo democracy haitakaa kuwepo Tanzania wala upinzani hakuna wanajiita upinzani Kwa ajili ya matumbo...
Nchi inaongozwa na chama na siyo mihimili ile mitatu tena[emoji32][emoji32][emoji32] kwani hiyo Humphrey ni faru gani??achani kiki tunataka mambo yapelekwe kisomi na siyo kusoma na kuandika pointless za kuhongana
Mkuu umeshauri point sana lakini subiri waje hapa utakoma nao UKAWA maana Hilo suala la kufanyia mikutano shule msingi ni uzalendo mkubwa wangesema badala ya kupigwa na kiyoyozi watumie zile pesa kufanya maendeleo Kwa wananchi atleast ingetusisimua zaidi wapiga Kura
Alafu me ningependa pia kushauri serikali kuwa wanapoingia mikataba ya aina yoyote na nchi wahisani katika Maswala ya kiuchumi na maendeleo kwanini wasiwe wanaweka hadharani tunaisoma na sisi wananchi tunachanganua tunatoa Maoni yetu b4 hatujajiingiza kwenye mikataba ya kutunyonga?maana kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.