viongozi wanaenda kuchota hekima na Baraka za mzee wa upakohata JPM walishakutana na huyo mzee wa upako
Dah....😀😀😀viongozi wanaenda kuchota hekima na Baraka za mzee wa upako
Dah....😀😀😀
Mzee wa bapa[/QUOTE
unamuuziaga bia ngapi kwa siku ??
maana umesema mzee wa upako ni mlevi sasa nataka kujua kama una muuziaga bia au mnakunywa wote ???Funguka
wewe uliye post video hii bila shaka haupo sawa kiakili ... sasa ulitaka mzee wa upako mtu akimuuzi asimjibu kwani yeye sio binadamu hana hisia??
Dah.... Jibapa halija wahi kumuacha mtu salama 😀😀😀viongozi wanaenda kuchota hekima na Baraka za mzee wa upako
Nimesema mzee wa bapa, bapa maanake ni ulevi? shame on youmaana umesema mzee wa upako ni mlevi sasa nataka kujua kama una muuziaga bia au mnakunywa wote ???
basi toa tafsiri ya bapa ??Nimesema mzee wa bapa, bapa maanake ni ulevi? shame on you
Hata wewe ni muumini wa uwongo maana unawanenea uwongo watumishi wa Mungu, ungekuwa mtumishi wa kweli ungetambua kwamba usihukumu nawe utahukumiwaAna upako kweli nafikiri ni zile siku za mwisho alizosema Yesu. Ukisikia manabii wa uwongo ndizo nyakati zenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wewe ni muumini wa uwongo maana ungekuwa unalifahamu neno la Mungu ungetambua linasema usihukumu nawe utahukumiwaAna upako kweli nafikiri ni zile siku za mwisho alizosema Yesu. Ukisikia manabii wa uwongo ndizo nyakati zenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa kiongozi haitakiwi uwe na mipaka na watu wako yeye anacho fanya nikuwa karibu na wachungaji woteLowassa anahangaika sana,kwa Gwajima basi tena