Pole Sana kwa maswahibu, ushaur wa kumuacha siwez kukupa maana huwa ni wa mtu mwenyewe , ningeweza ningekwambia muache aende kwao kumshikia mtu silaha na kumjeruh ni mbaya Sana angetakiwa awe na busara ya kuuliza hata ingetokea kugombana bas sio kutumia silaha huyo.hafai anaweza kukupa sumu pia...
Inataka moyo kuishi na mtu ambae hajui asante nilishawah kuishi na mtu hajui asante samahan wala karibu binafsi niliona kama najipendekeza tu nilishindwa kuishi nae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.