Recent content by mamsapkhan

  1. mamsapkhan

    Hii ndoa inanivunja moyo, najuta kwanini nilimuoa huyu mwanamke

    Pole Sana kwa maswahibu, ushaur wa kumuacha siwez kukupa maana huwa ni wa mtu mwenyewe , ningeweza ningekwambia muache aende kwao kumshikia mtu silaha na kumjeruh ni mbaya Sana angetakiwa awe na busara ya kuuliza hata ingetokea kugombana bas sio kutumia silaha huyo.hafai anaweza kukupa sumu pia...
  2. mamsapkhan

    Huyu ni wakuoa kweli?

    Inataka moyo kuishi na mtu ambae hajui asante nilishawah kuishi na mtu hajui asante samahan wala karibu binafsi niliona kama najipendekeza tu nilishindwa kuishi nae
  3. mamsapkhan

    Mke wangu ananilazimisha nimuombe msamaha mbele ya Kanisa

    Safi sana ampige chini na yy mbele ya kanisa
  4. mamsapkhan

    Nimemkumbuka Ex wangu

    Na utamkumbuka Sana kashapata alietambua thaman yake
  5. mamsapkhan

    Mume HIV+ anahitajika

    Utapata Inshallah
  6. mamsapkhan

    "Asante kwa kunipenda" huwa inakera sana

    Ukiona hivyo ujue hujamvutia anatumia busara asante kwa kumpenda ila yy hajakupenda
  7. mamsapkhan

    Wanawake kuweni waaminifu

    Tuambie yako kwanza ndo uanze kuhangaika na ya wengine
  8. mamsapkhan

    Raha ya kuoga mume na mke kwa pamoja

    Hahahaha ushuhuda huu hapa
Back
Top Bottom