Recent content by Mamndenyi

  1. Mamndenyi

    Mwananchi waomba radhi baada ya wananchi wengi kupiga kura ya kuridhishwa na Sera za Uchumi za Magufuli dhidi ya marais wengine

    Huu ni uchonganishi. He's no more. Hivi kweli mnawezaje kumlinganisha marehemu na mtu yuko hai. We know alifanya ila hayupo, let him Rest well. Hilo gazeti ni dhaifu
  2. Mamndenyi

    Shetani ananiandama bila sababu za msingi

    Usimsingizie shetani, wewe mwenyewe ndiye shetani
  3. Mamndenyi

    Daraja la Salender laanza kumong'onyolewa na Mafuriko, Magufuli aliona mbali kutujengea Daraja la Tanzanite!

    Maji ya mvua yanakuwa mengi. Nimeona madaraja ya nchi za wenzetu yapo juu juu. Tuombe maana mvua zikizidi hata hiyo zanzibar inaweza kufunikwa na maji. Watumishi wa Mungu simameni kwenye zamu zenu
  4. Mamndenyi

    Doto Biteko mwanasiasa asiye na kiburi

    Nilimuona juzi kwenye mazishi ya Mheshimiwa mmoja hapo Kenya. Doto yuko very sincere. Sijui moyo wake tu.
  5. Mamndenyi

    Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

    Umeamkaje ?
  6. Mamndenyi

    KERO Walimu Sekondari JM Kikwete ya Tunduma waache kulazimisha Wanafunzi kununua karanga

    Mambo mengine ni madogo mno kuyaleta humu. Haya kauze wewe hizo karanga
  7. Mamndenyi

    Mishono mipya ya nguo

    Wekeni mishono ya vitenge
  8. Mamndenyi

    Huu uvaaji wa Millard Ayo kwenye msiba wa Gardner umenishangaza sana

    Hiyo ni kamati ya ufundi, hao ndo waliotangulia hapo kuweka mambo sawa, ulitaka avae nini?
  9. Mamndenyi

    Hivi Waandishi wa Habari wakiwa wanasema fulani kazikwa na maelfu na mwingine wanasema kazikwa na mamia huwa wanamaanisha nini?

    Nimeona viti vikiwa empty. Walau nyumba imefishwa. Acheni sifa za huku mjini
  10. Mamndenyi

    Marehemu Captain G Habash aliwahi sema binti yake ataolewa na tajiri tu

    Marehemu hasemwi vibaya. Ila ya huko nyuma ni mabaya zaidi
Back
Top Bottom