Recent content by Mamndenyi

  1. Mamndenyi

    Mke wangu, Umetafuta adhabu umekosa hadi umeamua kuniadhibu hivi?

    Mkanye tu arudi maana wote wana tabia sawa.
  2. Mamndenyi

    Wasomi wengi hawajashindwa maisha, wamekosa uwezo wa ku-adapt na mtaa

    Umeandika mengi mno. Hata wastaafu wanaogopa mtaa.
  3. Mamndenyi

    Nachoka sana baada ya tendo la ndoa, nifanyeje?

    Fanya mazoezi. Only that.
  4. Mamndenyi

    Miaka 100 ijayo tulio hai leo tutakua tumefariki

    Wewe usijali utakuwepo
  5. Mamndenyi

    Dkt. Ayub Rioba astaafu na kuaga TBC baada ya muda wake kuisha

    Wastaafu wengi wanaogopa kurudi mtaani, Karibu uraiani huku.
  6. Mamndenyi

    Je, umeshawahi kufikiria nini kitatokea endapo mitume nayo ikaja kumuasi Mwenyezi Mungu huko huko peponi kulingana na wivu la kidaraja baina yao?

    Mathayo 19 : 28 Yesu akawaambia, Amin, nawaambia ya kwamba ninyi mlionifuata mimi, katika ulimwengu mpya, atakapoketi Mwana wa Adamu katika kiti cha utukufu wake, ninyi nanyi mtaketi katika viti kumi na viwili, mkiwahukumu kabila kumi na mbili za Israeli.
  7. Mamndenyi

    Kumbe Jamii Forums imeshafunguliwa 🤔

    Tulikoma aise, was a hard moment sana
  8. Mamndenyi

    DOKEZO Kujengwa kanisa la kilokole hapa Mwenge kwenye makazi ya watu, Mkurugenzi Halmashauri kuna kitu, Takukuru, NEMC amkeni

    Huku kwetu kila mtaa una kanisa sasa watoto wa ma mdogo nao wameanza kujenga zao. Acha wamtangaze Mungu.
  9. Mamndenyi

    Sina amani ya moyo na maisha ya mjini

    Sawa. Tafuta eneo kakomae, ila usitegemee mvua tu.
  10. Mamndenyi

    Tuwe wakweli: Kwa Tanzania, ni vigumu kupata mkoa uliobarikiwa kama Mbeya

    Jidanganye. That place is the worst place ever
Back
Top Bottom