Recent content by Mamen

  1. Mamen

    Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Profession: Teaching and Sales Experience : 2 years in Teaching but 1 year in Sales Education level: Bachelor degree Location: Dodoma Urban
  2. Mamen

    Msaada kuhusu kampuni bora za umeme wa jua (solar)

    Natumia Mobisol kwa sas (Mysol) mwaka wa 5 huu haijawahi kunisumbua na vitu vyake ni Super kabisa
  3. Mamen

    Ni kweli kwamba kupata ajira GardaWorld Security sasa hivi lazima uwe na cheti cha Chanjo ya Covid?

    Leta hyo connection m nina chet cha Covid-19 nianzie wap?
  4. Mamen

    Mambo moto kwa interns wa TAESA kupata ajira, interview za kuzuga tu

    Npo dodoma apa nimemalz traing kesho ntaingia interview sa 2 asubh
  5. Mamen

    Mambo moto kwa interns wa TAESA kupata ajira, interview za kuzuga tu

    Nimejaza fomu online mwez wa 10 nimeitwa mwezi wa 11 na leo nipo training nacklzia apa
  6. Mamen

    (Internal memo) Kampuni ya sola Engie zamani mobisol wanataka watu 20 wa sells

    Mkuu naona umeaandika kwa uchungu sana pole!
  7. Mamen

    Mkeka wakwenda oral NAOT na HESLB tayari

    All the best wengne tumekandwa tusubr next
  8. Mamen

    Ajira za Utumishi (Ajira Portal)

    Tulia tu utaitwa kama umekidhi vigezo vyao hata mm nimeomba MOcu mpka leo account inasoma recevied tu
  9. Mamen

    Nani ameshawahi kupata Kazi au internship kupitia TaESA (Tanzania Employment Agency)?

    Ndo kwanza nmemalza kujisajil nina cku ya 5 leo na wameaprove tayr account yangu so nasubr kupgiw simu ya interview!
  10. Mamen

    Maswali ya interview NAOT na HESLB

    Hongeren mlioitwa Kwenye Oral interview ya HESLB wengne tumekandwa na pass mark ya 48 huku dah!
  11. Mamen

    Maswali ya interview NAOT na HESLB

    Sas yule dada alisahu kuandika namba yake ya mtihan alkuw anawaza nn akawa anatuchelwesh kusepa LT 2 half sijapend ule utaratib wao wa kusign out
  12. Mamen

    Forojo Ganze (Master), mchawi maarufu aliyeanzisha Mwenge wa Uhuru

    Acha inyeshe tuone panapovuja maan stori zingine dah
  13. Mamen

    Nataka mwanaume anayefanya kazi

    Subr wakudanganye utakaye kuja kumpata ni hawa ambazo sifa zao umezikataa asa hv
Back
Top Bottom