Nawashukuru wote walionikaribisha kwa amani. Nami nawaahidi nitajitahidi kadri ya uwezo wangu kuwaelimisha vijana niliowaacha kwenye giza,unyanganyi,rushwa,uongozi mbovu<ccm> wajiunge na CHADEMA KWA MWANACHADEMA YOYOTE ANAYETAKA KUNISHAURI AU KUNIELIMISHA KUHUSU TARATIBU ZA CHAMA...