Recent content by Mamba Kibogoyo

  1. Mamba Kibogoyo

    TBC1 kushirikiana na TV1, Kuonesha Bure Kombe la Dunia Russia 2018

    Hamna shida mm nitaangalia tu Supersport Tbc1 siwezi angalia labda waanze kuonesha X
  2. Mamba Kibogoyo

    TBL yapunguza bei ya Castle lite, sasa ni 1500/= tu

    Namshukuru mungu ulevi nimeacha.
  3. Mamba Kibogoyo

    Tujikumbushe wahadhiri wababe na kauli zao za kukatisha tamaa

    Even God is not fair, kwa nn mm niwe fair- SIJO Saut
  4. Mamba Kibogoyo

    Huyu Salah anastahili Ballon d'or.

    Anaweza pata ila sio hii balon d'or tuliyozoea
  5. Mamba Kibogoyo

    Mambosasa amshambulia mwandishi aliyemuuliza kuhusu askari waliompiga risasi Akwilina, amtuhumu kutumwa na CHADEMA

    Kamanda mambosasa hafai kabsa kuwa hata mshauli wa mgambo ngazi ya kijiji
  6. Mamba Kibogoyo

    Askofu Himidi Sanga(Iringa): Waraka utakaosomwa Makanisani siku ya Pasaka ni wa kitume

    Sijaenda kanisani mwaka wa kumi sasa ila jumapili itabidi nitimbe tu kuusiliza huo Wakala
  7. Mamba Kibogoyo

    Mambosasa: Askari waliokuwa wametuhumiwa katika kesi ya Akwelina bado swala la upelelezi linaendelea

    Si kila askari anayeenda lindo anapewa lisasi 20 sasa alirudidha lisasi 19 bado hajajulikana tu?
  8. Mamba Kibogoyo

    Hizi hapa aina 10 za ndoa usizozijua

    Hiyo ndoa ya MIMBA ndo inanitafuna sasa najuta sana
  9. Mamba Kibogoyo

    Hivi hakuna njia ya kuwashitaki TANESCO

    Hili shirika ni la hovyo sana yaani huku kwetu umeme unakatika kila baada ya Masaa kadhaa
  10. Mamba Kibogoyo

    Serikali: Kichwa cha Treni kilichopata ajali Kigoma si moja ya vilivyokutwa Bandarini Dar

    Mbarawa naye ameshakengeuka tayari anakahusha ujinga
  11. Mamba Kibogoyo

    Uwanja wa Taifa: Simba SC 1-0 Azam FC, ligi kuu soka Tanzania bara

    Dah mpira hauishi tu jamani mwamuzi mda umeisha aiseee
  12. Mamba Kibogoyo

    Uwanja wa Taifa: Simba SC 1-0 Azam FC, ligi kuu soka Tanzania bara

    Asante kwasi ni Fundi sana Hutu jamaa
  13. Mamba Kibogoyo

    Wana JF waliopo Same,tukutane PADECO tusindikize weekend

    Dah kungekuwa na watoto wazuri nisingekawia kuwa hapo nami nipate hata balimi kama zipo
Back
Top Bottom