Recent content by mamasito

  1. M

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    Mkuu kuna vijana2 lkn nitakuwa huko mara kwa mara
  2. M

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    Mkuu wng hongera na pole na majukumu ansante kwa kuwa kioo cha jamii hp jf Mimi nataka kulima vitunguu maeneo ya kilosa ila Cna mwenyeji km una taarifa zozote Za mashamba mazuri tujulishane nategemea kwenda jtano Pia ni Mara ya 1
  3. M

    Je unahitaji kufuga Kuku wa Mayai?

    Safi kabisa tupe no kabisa ubarikiwe
  4. M

    Mwongozo wa ufugaji wa kisasa wa Mbuzi wa nyama na maziwa

    Ucniache malila niko tayari mkuu
  5. M

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    Mr qualifier nataka kwenda kulima kilosa sema Cna mwenyeji mwenye naomba uniwezeshe nimpate mwenyeji Pia unipe no ya anaekodisha shamba nataka nifanye kweli
  6. M

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    Wakuu wng naomba taarifa ya ardhi ya kilimo huko kilosa nataka nijitose mwaka huu ni sehemu gn,Pia wanakodisha kwa sh ngapi, Pia muda huu cjachelewa.?
  7. M

    Ardhi ya kilimo Tsh 5000 kila Ekari ya mbuga

    Wanajamvi wekeni wazi Hilo jambo ili tujumuike pamoja mbona mpaka Leo haijaeleweka km ni kukodi au kununua?5000?
  8. M

    Ardhi ya kilimo

    Naomba taarifa ya ardhi huko kibaha
  9. M

    Mashamba ya kukodi Ruvu

    Mkuu roky hukunitumia Ile no ya mwenye shamba la kukodi bado nasubiri
  10. M

    Natafuta Shamba

    Kk malila nami nahitaji eneo huko miono naomba msaada wko bei na usalama ni pm plz
  11. M

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    Naomba mnisaidie juu ya ukulima wa vitunguu ni mwezi gn mzuri, Pia cjui process zake unaotesha au unasia km nyanya?
  12. M

    Mashamba ya kukodi Ruvu

    Naomba unitumie no nahitaji plz
Back
Top Bottom