Mkuu ni sawa lakini mie nilielewa tofauti kidogo na wewe ni kwamba electoral college votes ni zile kura ambazo kila jimbo linapewa kutokana na wawakilishi wake mfano Dar ina majimbo kumi manake ina kura kumi Mwanza labda ina kumi na mbili manake kura kumi na mbili na hii haijali kama Dar ina...
Nakumbua mechi moja walicheza.na.African sport lilipingwa shoot na victor mkanwa akalidaka victor akaonyesha ishara ya.kusikitika kudakwa shoot lake basi akaamua kumrishia apige tena.victor hakufanya makosa akitia wavuni kusawazisha baada.ya mechi ilibidi ffu wamsindikize...
Bungeni anatoa.mawazo.na kupingwa kwa hoja anayepaswa.kumpinga.ni msemaji Wa serikari(waziri husika) hi yo usimuhukumu bungeni ni mjadala kwa kutofautiana
Pigania nyumba yako urudishiwe ila.kama mlijenga kipindi mpo kwenye.ndoa ni.vizuri ikauzwa mkagawana na wewe ukatafuta.maisha engine.kama ulizaa naye chukua watoto wako ambao sio wako usichukue
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.