Recent content by mama wa shamba

  1. M

    Je, unajua maana halisi ya Electoral College inayotumika kuchagua Rais Marekani? Jifunze

    Mkuu ni sawa lakini mie nilielewa tofauti kidogo na wewe ni kwamba electoral college votes ni zile kura ambazo kila jimbo linapewa kutokana na wawakilishi wake mfano Dar ina majimbo kumi manake ina kura kumi Mwanza labda ina kumi na mbili manake kura kumi na mbili na hii haijali kama Dar ina...
  2. M

    Trump anachanja mbuga mbele ya Hillary

    Hapo ndipo itakapoonekana kura za hazifai na wachambuzi wengi waliosema tayari Clinton ana 270 sijui watajisikiaje
  3. M

    VITUKO VYA Juma Pondamali

    Nakumbua mechi moja walicheza.na.African sport lilipingwa shoot na victor mkanwa akalidaka victor akaonyesha ishara ya.kusikitika kudakwa shoot lake basi akaamua kumrishia apige tena.victor hakufanya makosa akitia wavuni kusawazisha baada.ya mechi ilibidi ffu wamsindikize...
  4. M

    Lusinde: Dalili ya kufilisika ni kushindwa kulipa madeni. Serikali inalipa, Mbowe amefilisika!

    Azungumzie issue ya watafiti waliouwawa.jimboni kwake kwa imani potofu za kunyonya.damu
  5. M

    Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

    La mikutano ya kisiasa halikujibiwa baada ya tido kuingilia kati
  6. M

    Hussein Bashe ameongozwa na chuki dhidi ya rais Magufuli na Serikali yake

    Bungeni anatoa.mawazo.na kupingwa kwa hoja anayepaswa.kumpinga.ni msemaji Wa serikari(waziri husika) hi yo usimuhukumu bungeni ni mjadala kwa kutofautiana
  7. M

    Mteule wa Rais anakuwa na kura nyingi kuliko wengine wote, CHADEMA eleweni

    Wapo MaRC na MaDc waliokataliwa na wananchi kilango,mwari,kebwe,zambi.nao.utasema wanawakilisha wananchi
  8. M

    Nilimtelekeza mke wangu, nimerudi nimekuta rafiki yangu kamuoa

    Pigania nyumba yako urudishiwe ila.kama mlijenga kipindi mpo kwenye.ndoa ni.vizuri ikauzwa mkagawana na wewe ukatafuta.maisha engine.kama ulizaa naye chukua watoto wako ambao sio wako usichukue
  9. M

    BMT: Marufuku Simba Na Yanga Kubadili Umiliki, Zibaki Kwa Wanachama

    Simba na Yanga zilikiwepo kabla ya BMT haijaanzishwa itakuwaje iwaingilie
Back
Top Bottom