Sababu za ku overshoot kwa ndege ni Kama rubani ameona runway si salama kutua,Kama moja ya landing procedure haikukamilika,Kama rubani ameamriwa na aircraft controller ku overshoot,Hali ya hewa,misaproach.hivyo rubani wa ndege husika ndiye anayejua sababu ni ipi ya kufanya overshoot.
Ni kweli kabisa ila mtoto wangu anasumbuliwa na mafua mara kwa mara na daktari ndiye anamwandikiaga hizo dawa.je inaweza kusababisha kutokuongezeka kwa damu ya mtoto?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.