Nakuunga mkono,wangu hajasoma kbsaaa basi hata time management inamshinda kila kitu uwe unamwambia hata kama haupo home,inabidi uwe unapiga simu kujua anakuwa na rtb zipi,akisema afue bas mjue hamli siku hiyo,wala hamuhudumii mtoto,akimuhudumia mtoto ujue nyumba haisafishwi siku hiyo,akisafisha...