Mungu akusamehe kwa maana hujui utendalo
Huyo aliyekuumba wewe unakojoa huku umesimama ndiye huyo huyo aliyemuumba mama wa watu na mama ako,hakuna hata mmoja alitaka kuubwa jinsi alivyo bali ni mapenzi yake yeye?
Naunga mkono kauli yako ya kwamba ,ripoti ingekuwa ya kusifia tu,hakuna hasara yoyote ya shirika pendwa la ndege na zaidi sana tungeoneshwa makusanyo na mwenendo mzuri was serikali yake.
Muangaliege majina ya kuwapa watoto wenu,sio shida,tabu nk
Lulu anabebwa na jina lake,licha ya yooote aliyopitia lakini jina lake linamsafisha "LULU" mnataka awe sawa na kina shida?
Ndio itakavyokuwa kwa Lulu!
Akizaa mchezo kwishaa,watoto wakipata ndio kapata Lulu au nasema uongo Msando?
Hakuna mwanaume atakayekubali eti azae au awe na mali halafu mali awarithishe ndugu kina Msando halafu watoto wake wabaki masikini!!
Au hili hukufikiria eti Msando?
Acheni roho mbaya!
Mfano lulu amepata mtoto,majizo akamuandika mtoto kwenye hizo mali zake,majizo akaitwa na Mungu baba,mali zitabaki mikononi mwa nani?
Bado mtasema hastahili kuwa na hizo mali kisa hawakutafuta wote wakati wanafunga ndoa?
Roho mbaya tuu,mali zinawauma utadhani mlimsaidia...
Ndugu kuna kazi mshahara mdogo marupurupu ni mengi zaidi ya mshara,na unaweza usiuguse mshahara wako were dharau hiyo ndogo wakati hujui mbele yake kuna nini?
Nakwambia hivyo sababu nimeona kwa mtu wangu wa karibu,nae mshahara ulikuwa laki tatu,lakini alivyoozea mazingira alikuwa anakaa hata...
Friji jipya linadumu sana,Mimi nilinunua friji aina ya Boss huu mwaka wa 6 hakuna cha fundi wala nini!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Usiombe,Mimi mpaka leo huu mwaka 3 namdai rafiki yangu milioni 2,hapo alikuwa anataka milioni 3.
Alisema vikoba ana zaidi ya milioni 3,kwahyo akasema nimuazime milioni 3 akivunja atarudisha hela yangu,Mimi kwa kumuamini best yangu nikamkopesha 2.5m,akavunja akanipa laki 5 tuu!toka hata cent...
Hii naona inaegemea sana kwa wamama wa nyumbani ambae anamtegemea mume kwa kila kitu hapo pasu kwa pasu inaweza ikawa ngumu.
Lakini huyu mwanamke ambaye yupo kazini weka mia aweke mia mnunue kiwanja,mara mnunue tofali au mshahara wako kopea wangu utahudumia familia hapo pasu kwa pasu itahusika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.