At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,513
- 3,552
Bora ukuje na ID ingine unanichefua.
Nashindwa kabisa kusoma bandiko la watu dizaini ya wewe.
Nashindwa kabisa kusoma bandiko la watu dizaini ya wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawahawa wananchi wanaoiweka Ccm madarakani ipo siku wataitoa madarakani ikishindwa kutimiza wajibu wake.Wananchi gani ?! Usinichekeshe. Hawa ambao kura zao si muhimu kwa Ccm na serikali zake !!!
Jikite kwenye mada.Bora ukuje na ID ingine unanichefua.
Nashindwa kabisa kusoma bandiko la watu dizaini ya wewe.
Kwa aina ya ubabe uliotumika kutoka kwa policcm na uvccm walio jipachika jukumu la utiss, hata ungekuwa ni wewe ungekuwa tu mpole! Na usingefanya lolote.Yaani watumishi ni watu wa ajabu sana wanajisahau na viposho vya laki mbili wanauza future ya ndugu jamaa na marafiki zao kisa tamaa ndogo ndogo. Acha tuyapate maumivu
Ndo wanapaswa watulie sasa wasilielie waendelee kula pensheni ya usimamizi wa kuraKwa aina ya ubabe uliotumika kutoka kwa policcm na uvccm walio jipachika jukumu la utiss, hata ungekuwa ni wewe ungekuwa tu mpole! Na usingefanya lolote.
Mbaya zaidi walipozwa na posho nene ya laki tatu na ushee!! Jambo ambalo halikuwa la kawaida. Ukichukulia hiyo fedha haikutoka kwa Mabeberu! . Ilikuwa ni fedha ya ndani kwa maelezo ya mwenye nchi na wapambe wake.
Hii ni taarifa niliyopewa na mtu wangu wa karibu aliyekuwa ni mmoja wa wasimamizi.
Nimekuambia nashindwa kusoma...!Jikite kwenye mada.
Watumishi wanataka nyongeza ya mishara,hilo ndio jibu sahahihi.Tumhurumie PM!!
Sasa angejibu nini kwa mfano!!
Amefunika kombe!!!
Huwezi kuelewa uhusiano wa wizi wa kura na behaviours za viongozi wanaopatikana kwa kura. Utaelewa taratibu. Hapo awali ulikuwa ukitetea hata hili unalolilalamikia kwa sasa.Mkuu masuala ya wizi wa kura yanatoka wapi?
Ahaaa, kwamba mimi nilitetea watumishi kutokuongezwa mishahara tena kwa sababu zisizo na mashiko kama hizi? Pitia record zako.Huwezi kuelewa uhusiano wa wizi wa kura na behaviours za viongozi wanaopatikana kwa kura. Utaelewa taratibu. Hapo awali ulikuwa ukitetea hata hili unalolilalamikia kwa sasa.
Jipe muda tu utaelewa, kwani siyo lazima wote tuelewe kwa wakati mmoja.
Jambo la msingi ambalo mchangiaji ametaka ufahamu ni kuwa, kiongoza ambaye amepata madaraka bila ya kutegemea maamuzi ya wananchi, hana hofu ya kutenda au kutotenda lolote, kwa maana anajua hawana uwezo wa kumfanya chochote. Hamkumchagua, ameingia madarakani kwa mbinu zake za kuiba kura, ana sababu gani ya kukufikiria wewe?Mleta mada hajadili masuala ya wizi wa kura.
Utafiiti wa TWAWEZA uliwrka wazi kuwa wanaoshabikia CCM ni ni watu wajinga. Na hilo lipo dhahiri.Ikiwa wewe chagu wa malunde unalalamika leo. Mbona ulikuwa ukijisikia vibaya haya haya wakikosoa akina Cdm ?! Huu utakuwa ni unafiki. Wakikosoa wapinzani mnawaka Ila ukikosoa wewe tuone kawaida.
Serikali hii ya awamu ya tano, vipaumbele vyake hata nyinyi makada hamvielewi. Na wala masilahi ya wananchi si vipaumbele vyao. Akili ya hao ni jinsi gani watakavyodumu madarakani . Hata kama mshahara usiongezwe . They don't care . Wanavyo vyombo vya dola na vya maamuzi.
Nasema uongo ndugu zangu?nchi imeingia uchumi wa kati bila kupandisha mishahara
Kama masula ya mishahara ni madogo, yanarekebishika, rekebisheni. Msilete malalamiko hapa.Jaduong kukosoa serikali kuwe kwa hoja,je Cdm walikosoa kwa hoja?
Hatima ya Ccm kukaa madarakani ipo mikononi mwa wananchi. Vyombo vya dola haviwezi kuzidi nguvu ya wananchi,masuala madogo kama nyongeza ya mishahara yanarekebishika.
Pesa iliyotumika kuendesha uchaguzi ni pesa ambayo mabeberu waliitoa kwaajili ya kuwasaidia watanzania kupambana na corona. Yeye akaipeleka kwenye uchaguzi, na kuongea uwongo kuwa eti ni pesa yetu ya ndani. Ndiyo sababu, baada ya Bunge la Ulaya, kupata uhakika huo, waliomba taarifa ya pesa yao waliotoa kwaajili ya kupambana na corona, namna ilivyotumika. Mpaka leo Serikali imeshindwa kutoa taarifa ya matumizi.Kwa aina ya ubabe uliotumika kutoka kwa policcm na uvccm walio jipachika jukumu la utiss, hata ungekuwa ni wewe ungekuwa tu mpole! Na usingefanya lolote.
Mbaya zaidi walipozwa na posho nene ya laki tatu na ushee!! Jambo ambalo halikuwa la kawaida. Ukichukulia hiyo fedha haikutoka kwa Mabeberu! . Ilikuwa ni fedha ya ndani kwa maelezo ya mwenye nchi na wapambe wake.
Hii ni taarifa niliyopewa na mtu wangu wa karibu aliyekuwa ni mmoja wa wasimamizi.