Ayubu 14:1
"Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu."
Lala salama Jenista
Pole kwa familia na wote walioguswa na msiba
Wanaume imara, familia imara, jamii imara na taifa imara
Mwenyezi Mungu awajalie wanaume wote wanaokuwa, wanaozaliwa na watakaozaliwa wawe vichwa na viongozi katika kila jambo.
Wanaume mkiamua kusimama kwenye nafasi zenu jamii itapona. Hatutakuwa na mashoga, wasagaji wala marioo
Tunawaamini...
Ndoa ni makubaliano kati yenu. Nyie mikubaliana nini kuhusu ibada
Mume ni kichwa kiongozi kiongozi wa mke kma Kristo alivyo kichwa kwa kanisa. Wewe unamuongoza vipi katika kumtafuta Mungu
Usipofanya majukumu yako wewe mwenyewe nyoka atakusaidia kufanya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.