Recent content by mama D

  1. mama D

    TANZIA Jenista Mhagama, Mbunge wa Peramiho afariki dunia

    Ayubu 14:1 "Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu." Lala salama Jenista Pole kwa familia na wote walioguswa na msiba
  2. mama D

    Kama kawaida yenu Mtu kafa kwa Stress zake na BP kwa safari hii Kuachwa ambako hakukutegemea kwa Ushirikina wake mnasema Kauliwa

    Lala salama Jenista Ayubu 14:1 Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu.
  3. mama D

    Happy International men's day to all

    Wanaume imara, familia imara, jamii imara na taifa imara Mwenyezi Mungu awajalie wanaume wote wanaokuwa, wanaozaliwa na watakaozaliwa wawe vichwa na viongozi katika kila jambo. Wanaume mkiamua kusimama kwenye nafasi zenu jamii itapona. Hatutakuwa na mashoga, wasagaji wala marioo Tunawaamini...
  4. mama D

    PostGE2025 Dotto Biteko atemwa rasmi na Rais Samia

    Kila zama na kitabu chake
  5. mama D

    TANZIA Mchekeshaji maarufu MC Pilipili afariki dunia

    Roho ya mauti imeinuka sana 😢 Mwenyezi Mungu aturehemu
  6. mama D

    Mke wangu anachelewa sana kurudi nyumbani anasema akitoka kazini anaenda kwenye maombi

    Ndoa ni makubaliano kati yenu. Nyie mikubaliana nini kuhusu ibada Mume ni kichwa kiongozi kiongozi wa mke kma Kristo alivyo kichwa kwa kanisa. Wewe unamuongoza vipi katika kumtafuta Mungu Usipofanya majukumu yako wewe mwenyewe nyoka atakusaidia kufanya
  7. mama D

    TANZIA GE2025 Job Ndugai, aliyewahi kuwa Spika wa Bunge afariki Dunia

    Pole kwa wafiwa na wote walioguswa na msiba Rest well Job
  8. mama D

    TANZIA Hassy Kitine, Mkurugenzi wa zamani wa Idara ya Usalama afariki dunia

    Rest well Dr Hassy Tutayakumbuka mengi uliyotufunza Namshukuru Mungu kwa ajili ya uhai wako
Back
Top Bottom