Recent content by mama D

  1. mama D

    Ghafla Mawaziri wameibuka na kuanza kumwagia Sifa Rais Samia

    Wamegundua walikua wanatoboa mtumbwi uliowabeba tena katikati ya bahari Wameanza kujielewa
  2. mama D

    Watanzania tuelewe nafasi ya Rais kama Kiongozi wa nchi na tumheshimu Rais Samia Suluhu Hasani

    Heshma ni lazima sio hiari, huku kukaa nyuma ya keyboard kusikufanye ujione mwamba Kama unabisha endelea na matusi kikukute kitu Kosoa, toa maoni, toa ushauri na mapendekezo utasikilizwa sio matusi.
  3. mama D

    Watanzania tuelewe nafasi ya Rais kama Kiongozi wa nchi na tumheshimu Rais Samia Suluhu Hasani

    Pole kwa jazba Kwanza jiulize ilikuaje mama yako kikongwe akabaki akilima kijijini au ndio shule ilimkataa zamani nae akaikataa?? Maana hata Rais hakuzaliwa Ikulu, alitokea hukoooo kijiji cha Kizimkazi
  4. mama D

    Watanzania tuelewe nafasi ya Rais kama Kiongozi wa nchi na tumheshimu Rais Samia Suluhu Hasani

    Wapuuzi ndio wanapuuza wenye akili wanaelewa Sasa sijui wewe uko kundi lipi? teheteheeee
  5. mama D

    Watanzania tuelewe nafasi ya Rais kama Kiongozi wa nchi na tumheshimu Rais Samia Suluhu Hasani

    Ukipewa ushauri usiuite panic. Au mama yako sio shupavu??? Hahahaaaaa
  6. mama D

    Watanzania tuelewe nafasi ya Rais kama Kiongozi wa nchi na tumheshimu Rais Samia Suluhu Hasani

    Okay ni sawa kama kwako kumheshimu ni upuuzi ila kumtukana ni makosa na itakugharimu
  7. mama D

    Watanzania tuelewe nafasi ya Rais kama Kiongozi wa nchi na tumheshimu Rais Samia Suluhu Hasani

    Uko sahihi sana Ugomvi na matusi yanayorushwa sio kwa maslahi ya nchi
  8. mama D

    Watanzania tuelewe nafasi ya Rais kama Kiongozi wa nchi na tumheshimu Rais Samia Suluhu Hasani

    Fanya 2025 utupatie mama yako atuongoze tuone ushupavu wenu
  9. mama D

    Watanzania tuelewe nafasi ya Rais kama Kiongozi wa nchi na tumheshimu Rais Samia Suluhu Hasani

    Yoda kwani wewe ni mwanaume??? Mbona na mimi ni Mwanaume pia hahahaha Hahahaaaa
Back
Top Bottom