Yaani unafamilia unadanganywa kama mtoto,hizo roses chocolate za nini,hapo ungempiga stop au usingepokea nakuanza kugawa,kwa kufanya hivyo umekubali zawadi na ndio maana akawa na nguvu ya kutaka mkale lunch,then kwa nini ulikubali kwenda nae lunch ungekataa kingeharibika kitu,jilinde na...