Recent content by Mama Beto

  1. M

    GE2010 Uchaguzi wa Spika wa bunge la 10 la Tanzania

    Mungu libariki Bunge letu
  2. M

    GE2010 Uchaguzi wa Spika wa bunge la 10 la Tanzania

    and i am afraid kama 2015 akisimamishwa mwanamke kugomnea urais kwa tiketi ya CCM atashinda. Wanawake huwa wanapepa sijui hisia ya huruma, CCM wajanja hamjui? kivyovyote kama angesimama mwanaume uspika angepata Marando. habari ndo hiyo jamani. Go back to work na kujipanga. there is no chama cha...
  3. M

    GE2010 Uchaguzi wa Spika wa bunge la 10 la Tanzania

    Naibu Spika atakuwa ni nani jamani?
  4. M

    Hawa ndiyo wabunge wa viti Maalum CHADEMA, CCM na CUF

    Yangu macho, najuta kuzaliwa Tanzania. mambo ya ajabu kweli. yani hata wale manesi wa vijijini wanaoujua uchungu wa kazi ngumu na sekta ya afya ilivyo duni na miundo mbinu yake, sijaona hata wakichaguliwa ili iwe changamoto na motivation, wanachanguliwa watu ambao hata ofisi zilishawashinda na...
  5. M

    GE2010 Kikwete Live on Power Breakfast (Clouds FM)

    He is Live now. now he is talking about foleni za barabarani
  6. M

    Ushauri wa kuacha kazi

    Enny, Pole sana kwa muda uliokuwa mbali na familia yako. kwa kuwa umepata kazi tayari wala huna haja ya kujishauri, cha muhimu ni kuondoka bila bosi wako kutoridhika na uamuzi wako, kwa kuwa mnaweza kukutana popote, si unajua maisha? hata hapo unapoenda anaweza akaja akawa tena bosi wako...
  7. M

    Mchicha na tangawizi mbichi ndio suluhisho pekee! Achana na viagra!!

    Tukimngoja bwana Kalunguine na recipe yake, tangawizi inasaidia katika masuala hayo ya nguvu za kiume/za kike. ukiitia kwenye mlo wowote ni sawa. au hata ukiitafuna. wengine huisaga vizuri na kuichuja unaweka ndimu na pilipili na kula katika chakula vyovyote. na pia itieni katika juice, safi...
  8. M

    Msaada kwenye tutaa....

    hi all, Mara nyingi watu huwa hawapendi wanawake au wanaume wenye watoto sababu inaweza kuwa ni kuona gharama ya kumgharamia mtoto ambaye si wako. nyengine inaweza kuwa ni tatizo la kisaikolojia kwamba loh, mpaka amezaa! kumbe ni kawaida tu, what make a marriage ni love, yani kaka kama kuna...
  9. M

    Mchicha na tangawizi mbichi ndio suluhisho pekee! Achana na viagra!!

    Habarini wadau. tukimngoja kaka kutoa hiyo recipe ya mchicha na tangawizi ngoja niokoe jahazi kidogo. tangawizi kweli ni dawa ya mambo mengi, hsa katika kurudisha nguvu za kiume na kutengeneza yale majimaji yawe na content. kama mnaweza katika mboga na milo mingi itumie tu unaiblend (kuisaga...
  10. M

    Mshaurini dada yetu jamani

    Hapo there is no love, y mdada ajisikie vibaya bf wake kukaa kwake? Yani dunia ya sasa ni ya kujali kiasi hicho? No way, mdada ajilegeze na amkubali mkaka kama alivyo, kama anahofia ndugu na jamaa kusema mkaka anakaa kwake, ataweza kumridhisha kila mtu. Yakimzidi idea ya kupanga kwengine na kwa...
  11. M

    Nauza gari ndugu zangu

    umenichekesha Semango, Katabazi nimekusoma. madeni ni mengi ndugu...mbona hamniambii mnangapi wandugu?
  12. M

    GE2010 Kwanini ni vigumu kuiba kura katika Uchaguzi Wetu - Tusitafute visingizio

    mh, kizaazaa cha mwaka! Mungu ndo mwamuzi siku hiyo....wapi wana maombi? kemea kemea kabisa!
  13. M

    Nauza gari ndugu zangu

    Niambie Smarter unataka nishuke mpaka ngapi, ni kweli hatujaitumia mda mrefu na machine ipo mana tulikuwa tunaendea field mkoa, kama ulivyosema ukiipiga msasa mwana mjini unatingisha. bado lipo karibuni, wengi wamekuja wanangoja mwisho wa mwezi hamjachelewa. :smiling:
  14. M

    An opportunity to earn 6 figure income part-time

    jamani mmenifungua macho lol! na hizi njaa, wengi wangeapply maskini. kweli this is the home for great thinkers! thanks.... tupo juu, naona hajajibu tena.
  15. M

    Nauza gari ndugu zangu

    jamani ni mama Beto sio Peto. haya nitaongeza picha na hiyo engene mnayotaka, mnasema imechoka shauri ya bei? mnataka vya bei mbaya ee. nina madeni mwenzenu.
Back
Top Bottom