Recent content by malobota

  1. M

    Jibu hesabu yangu, wengi mtafeli hapo

    Hapo Maana yake unachukua namba ya CHINI unazidisha Na ile ya juu. Ndiyo Maana kapata ifuatavyo 4x5=20 6x5=30 7x6=42 8x7=56 Kwa hiyo Hapo Kwenye 9 unachukua namba ya CHINI ambayo Ni 10 10x9=90 Hapo jibu Ni 90
  2. M

    Kumbe wanaume wa mikoani mna mambo ehh!

    Hilo Ni Tatizo la Kuwa shabiki wa Dar Young Africans! Yaani huyo Mzungu Pluijm kawasababisha wengi kuharibika tabia.
  3. M

    Tuache Siasa ktk Uchumi: Wachumi tuelimisheni Dhambi ya Fixed Deposit na Faida ya Fedha Kukaa tu BoT

    Hakuna ubaya kuweka Fedha Kwenye FD Kama yafuatayo hayatafanyika: 1: FD interest Kwa Fedha yoyote inayozidi 500,000,000/- riba yake huanzia 10% hadi 15% kutegemeana Na Benki pamoja Na makubaliano ambayo Ni Matokeo ya majadiliano Au negotiations. Wizi unakuwepo kama makubalino yataishia KUTOA...
  4. M

    CCM chukueni hatua ya kumhoji Bashe ili athibitishe tuhuma zake

    Au katumwa Na Kinana ili KUTOKANA Na kauli zake ilazimike kuitishwa kikao Cha Kamati Kuu ya Chama kujadili "hali ya kisiasa" maana Kaona Mwenyekiti yuko kimya.
  5. M

    CCM chukueni hatua ya kumhoji Bashe ili athibitishe tuhuma zake

    Bashe Ni "untouchable"!!! Angesema mtu MASIKINI Hapo angeitwa Na Mzee Masoud Mbengula.
  6. M

    Prof. Rwekaza S. Mukandala amaliza muda wake UDSM. Awaaga wana UDSM

    AIBU SANA nyinyi wote MNAOSEMA Mukandara KAFANYA KAZI VIZURI SANA! Nani kati Yenu anayeujua VIZURI mkataba wa mlimani city AMBAO wamekodishwa watu Binafsi Kwa miaka 50 Kwa malipo ya ASILIMIA 10 TU ya mapato???
  7. M

    Natafuta mume 45-55

    Aliye karibu Na mwanamke ndiye Mume wake. ANGALIA Hapo Kwenye mazingira unamoishi, KAZI, kusali kufanya maombi, MAZOEZI nk huwezi kumkosa. Lakini usiyemjua KABISA unaweza kujuta baadaye.
  8. M

    Mbunge wa Mtera, Mh. Lusinde amtaka Lowassa kuacha upotoshaji

    Wote mnaomtukana Lusinde nyinyi ndio WAJINGA MLIOVUNJA REKODI YA UJINGA. mtu akiongea hoja unachotakiwa kujibu Ni hizo hoja siyo matusi. Wabunge Darasa la Saba mbona HATA wapinzani wengi tu sifa Yao ktk Elimu Ni Hilo Drs la 7? NYANI HAONI KUNDU LAKE
  9. M

    Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji ameamua kujiuzulu nafasi yake

    Mimi pia Ni Mzee Na Sisi Wazee ndio tunajua thamani ya Kuwa mwanachama tumechangia mengi Kwenye timu zetu huwezi kuchukua timu alafu ukasema tu 75% itakuwa Yangu alafu 25% Yenu. HUO ungekuwa ujinga sawasawa Na ule wa sultan Mangungo aliposaini mkataba wa Carl Peters bila HATA kuusoma. Wenzao wa...
  10. M

    Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji ameamua kujiuzulu nafasi yake

    Weka wazi HAPA jina lako Kamili Na namba ya Kadi YAKO ili tujiridhishe VIZURI.
  11. M

    Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji ameamua kujiuzulu nafasi yake

    Mkitaka ang'oke SANGA Tuko tayari kuwasaidia Kwa kuwafunga 7-0. SAWA? Hayo Ni makubaliano Na tunaomba ASIMAMIE Mzee Ibrahim Akilimali
  12. M

    Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji ameamua kujiuzulu nafasi yake

    Alirejesha amani Kidikteta! Fukuza fukuza ya viongozi wenzie Baada ya Kuwa kawalipa elfu tanotano waliokuwa wanahudhuria mkutanoni Ndiyo ilikuwa Staili ya uongozi!!! Mtu kachaguliwa mwezi mmoja uliopita anafukuzwa bila kujieleza uliona wapi?? Nilijua atakwama tu. Nikiwaangalia SANA usoni...
  13. M

    Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji ameamua kujiuzulu nafasi yake

    Shafii Dauda Kuwa Yanga Au Simba Ni kosa?? Fikirini Kwa Kichwa badala ya matako. Nyinyi ndio mlikuwa mnalala chumba kimoja Na Manji timu ilipokuwa ikisafiri nje. Tatizo nini mbona Dangote atawarithi???
  14. M

    Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji ameamua kujiuzulu nafasi yake

    Tutapata Tena rekodi ya mabao mengi Safari hii tunavunja rekodi ya 1976 ya 6-0. Bahati nzuri wenzetu huwa WAKIWA Na gogoro Kama HIKI huwaambia WACHEZAJI wao waachie ili kukomoana. Teh Teh Teh.
Back
Top Bottom