Mbona watu mnapenda kulalamika sana? Mtu kaleta mwenyewe kwa nafasi yake, halafu tumpangie as if ni Lazima alete story humu. Kama anaandaa hsijakamilika alete tuu? Ni mali yake acha atambe nayo. Anaweza hata kuacha kuleta humu na maisha yakaenda poa tuu. Story kuishia njiani humu ni kawaida...
Watu bwana sijui wanaelewaje mambo. Mtu kasema ijumaa, wewe unakuja kuanza kulalamika leo. Kwani alisema ni ijumaa ipi? Kama alisema ijumaa ya wiki ijayo, au ijumaa ya mwisho wa mwezi au ijumaa ya mwisho kabla ya mwaka kuisha au ijumaa ya tar 15 mwezi wa pili. Ijumaa ziko nyingi so endeleeni...
Sasa kwani angetoa taarifa kwamba anasafiri kwenda nje ya nchi hata kupumzika angepungukiwa nini? Saa zingine wanapenda kuwaingiza watu kwenye matatizo ya kukwawazia mabaya kwa makosa yao wenyewe.
Kwani alishindwa nini kumwagiza msaidizi wake pale ofisini kuchapa taarifa kwa umma kwamba...
Dawa ambayo ni komesha kabisa ila ni ya kikatili sana na ni ya maumivu makali sana na inaweza kusababisha maafa au kifo kabisa ni kama ifuatavyo:
Washa kipande cha mti kisicho na matawi matawi kisafishe vizuri, kiwe size ya dushe au kipande cha chuma kilaini. Kiweke kwenye moto kichemke kiasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.