Ukishamkataa shetan na yeye atakukimbia,,
Sasa we unataman na wakat imeandikwa ustaman.
Na unazini zini na imeandikwa usizini.
Lakin mganga akikuambia usilale chumbn yako we unatii na unafanikiwa.
Lakin ya KIMUNGU hapana..
Ibilisi lazma achukue nafas
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni shida.
Wananchi wapo tyar lakin viongoz wanaotaka hayo mabadlko hawajitokez adharan wanazungumzia kwenye vyombo vya habar na nyumban mwao..
Inatakiwa watoke rodin kila jumatatu ya wiki mpaka kieleweke kama kenya wakat wanadai
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa kichekesho.
Mi nasema na naendelea kusema chadema ikisimama vema kwa kutumia rasilimali watu kama ilivyokua kenya..!!
"katiba itapatikana tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lisu nimemwona kama mtu wa haki sana na kufuata sheria.
Ndio maana kesi zinazomhusu nyingi anashinda kwa ushind
Ila watu wengi wasiofaham sheria wanaweza wasimwelewe.
Ukitaka kumwelewa sikiliza hoja yake tangu mwanzo utamwelewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunena kwa lugha kupo kibblia kabisa na hata mi nanena kwa lugha nisiyoijua inatokea wap wakat wa kuomba...
Ukishaokoka inakupasa utaman kunena kwa lugha...fanya utafit wa neno la Mungu maana halisemi uongo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.