Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,956
- 13,717
Mtu mmoja amefariki leo asubuhi baada ya kutokea ajali ya daladala na treni ya Pugu saa 11 leo alfajr makutano ya Nkrumah. Majeruhi wako 23.
Polisi Reli wanasema majeruhi wako 23 , Amana 8 na 15 wako Muhimbili. Kati yao watatu ni mahututi! Daladala lilikuwa kutokea Gongolamboto !
UPDATE:
Majeruhi 7 wapo Amana baada ya mmoja kuhamishiwa Moi! Jumla wahanga16 wapo Moi!
Chanzo cha habari ni TRL
Polisi Reli wanasema majeruhi wako 23 , Amana 8 na 15 wako Muhimbili. Kati yao watatu ni mahututi! Daladala lilikuwa kutokea Gongolamboto !
UPDATE:
Majeruhi 7 wapo Amana baada ya mmoja kuhamishiwa Moi! Jumla wahanga16 wapo Moi!
Chanzo cha habari ni TRL