Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Umesahau kwamba Sumaye na Lowassa pia walikuwa wajumbe?Kina Lusinde ndio wajumbe unategemea kuna katiba hapo?? Elimu kujua kusoma na kuandika Msukuma
Sent using Jamii Forums mobile app
kwani tz hakuna computerized + jecha presidentTatizo sio kurudia uchaguzi
Swali wanajipangaje wasijepata tena a computerised president again?
Hawakukataa rasim ya warioba ! "Umesahau kwamba Sumaye na Lowassa pia walikuwa wajumbe?
......
Ongeza na yule profesa maji marefu,jah people,milinga and the same!Kina Lusinde ndio wajumbe unategemea kuna katiba hapo?? Elimu kujua kusoma na kuandika Msukuma
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni shida.Bahati mbaya kabisa Tz wanategemea hisani za Maghufuli na CCM katika kutoka maamuzi muhimu kama katiba mpya. Nchi yangu hii ilipandikiza ujinga na uoga kwa raia wake. So sad
Cairo's
Unafki na uswahili unaiangamiza nchi hii na CCM wanatumia udhaifu huo. Hebu mwangalieni Mzee Samwel Sitta alivyoipotezea nchi fursa isiyohitaji maandamano wala damu. Alidhani atadumu mileleNi shida.
Wananchi wapo tyar lakin viongoz wanaotaka hayo mabadlko hawajitokez adharan wanazungumzia kwenye vyombo vya habar na nyumban mwao..
Inatakiwa watoke rodin kila jumatatu ya wiki mpaka kieleweke kama kenya wakat wanadai
Sent using Jamii Forums mobile app
Kina Lusinde ndio wajumbe unategemea kuna katiba hapo?? Elimu kujua kusoma na kuandika Msukuma
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu majaji ambao ni taasisi nyeti wanateuliwa na mtukufu rais. Watadhubutu kwenda kinyume nae?Bahati mbaya kabisa Tz wanategemea hisani za Maghufuli na CCM katika kutoka maamuzi muhimu kama katiba mpya. Nchi yangu hii ilipandikiza ujinga na uoga kwa raia wake. So sad
Cairo's
Hivi nikwanini mnawafuatafuata Sumaye na lowasa hivyo? Hii inaonyesha ni jinsi gani uwepo wao chadema unavyo watesa. Kweli mumekwisha. Ukiona mtu anakupiga vita sana ujue anakuogopa. Hii pia inaonekana wazi kwa serikali invyowaonea wapinzani, haitaki waongee. Kama mnadhani wapinzani hawana nguvu, ruhusuni uhuru wa mikutano muone kazi.Umesahau kwamba Sumaye na Lowassa pia walikuwa wajumbe?
......